Ckia mwanangu,tangulini bata akamshauri kuku kuwa kuku,achana nao kawaulize professional engineers coz co kila mtu wa kumuuliza,maswal haya muulize profesa wenu chuon
Ndugu wa JF family naomba kuelezwa kuhusu ulipaji wa hostel km Heslb wanahusika au hapna,maana cc wa mabbo tunatakiwa kulipa 73k,je mkopo ukitoka hyo hela inakuwepo au hapana,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.