Recent content by Mwinyimadi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Kulingana na waraka wa katibu mkuu km mkuu wa taasisi hatapitisha kwa wakati mpka imeenda next stage itahesabika kwamba Ombi hilo amelilizia. Kwahy hapo kuwa na amani
  2. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Imeenda kwa destination organization tayari,,, hivi Sasa inaenda yenyewe kwahy inaandika Nini kwenye huo mfumo? Mana mdimamizi wa KAZI hajatia neno ko imeenda mbele yenyewe? Ebu nipe experience kaka
  3. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Mmmh una experience na iko kitu coz mm Leo ni siku ya 14 haijaenda mbele bado IPO ktk taasisi yangu?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Habari! Umeongea vema mnoo,, kwasasa mfumo unaruhusu kwa kwenda ikiwa muhusika hajaifanyia kazi,,, swali langu je kwa upande huu wa vacancy request na kwao Kuna time limit ikiwa mkuu wa taasisi hajaifanyia kazi inaenda kwa destination organization?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Nimekuelewa vizuri sana,,, sijaona kosa langu coz ukisoma uzi wangu nimesemema wengi wao na sijasema kwamba wote ni watoto.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Hakuna taaluma pasi na maadili ndio maana utasikia umekiuka maadli ya taaluma yako. Imagine binti yako anarudi nyumbani kwa kupewa ujauzito na mwalimu wake je kama mzazi utajisikiaje? Kwanza kusema maadili na taaluma haviendani kusingekuwa na dressing Code kwa wanafunzina na watumishi wa umma...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Habari ndugu wana JF, Leo nimependa kuzungumza nanyi mada kuhusu vyuo vikuu kufundisha ASTASHADA na STASHAHADA. ni ukweli usiopingika sera ya elimu inabidi kufanyiwa marekebisho kwasababu vyuo vikuu siku hizi zinachukua watoto wanaomaliza kidato cha nne (4) wengi wao chini ya miaka ya 18...
Back
Top Bottom