Hakuna taaluma pasi na maadili ndio maana utasikia umekiuka maadli ya taaluma yako. Imagine binti yako anarudi nyumbani kwa kupewa ujauzito na mwalimu wake je kama mzazi utajisikiaje? Kwanza kusema maadili na taaluma haviendani kusingekuwa na dressing Code kwa wanafunzina na watumishi wa umma...
Habari ndugu wana JF,
Leo nimependa kuzungumza nanyi mada kuhusu vyuo vikuu kufundisha ASTASHADA na STASHAHADA. ni ukweli usiopingika sera ya elimu inabidi kufanyiwa marekebisho kwasababu vyuo vikuu siku hizi zinachukua watoto wanaomaliza kidato cha nne (4) wengi wao chini ya miaka ya 18...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.