Recent content by Mwinyimadi

  1. M

    Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Nimekuelewa vizuri sana,,, sijaona kosa langu coz ukisoma uzi wangu nimesemema wengi wao na sijasema kwamba wote ni watoto.
  2. M

    Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Hakuna taaluma pasi na maadili ndio maana utasikia umekiuka maadli ya taaluma yako. Imagine binti yako anarudi nyumbani kwa kupewa ujauzito na mwalimu wake je kama mzazi utajisikiaje? Kwanza kusema maadili na taaluma haviendani kusingekuwa na dressing Code kwa wanafunzina na watumishi wa umma...
  3. M

    Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Habari ndugu wana JF, Leo nimependa kuzungumza nanyi mada kuhusu vyuo vikuu kufundisha ASTASHADA na STASHAHADA. ni ukweli usiopingika sera ya elimu inabidi kufanyiwa marekebisho kwasababu vyuo vikuu siku hizi zinachukua watoto wanaomaliza kidato cha nne (4) wengi wao chini ya miaka ya 18...
Back
Top Bottom