Recent content by Mwinyimadi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Oooh kumbe! Kama IPO hivyo hapo sawa nimekuelewa kwa njia hii mwajiri hawezi ku comment tofauti coz aluridhia mwenyewe
  2. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Oooh kumbe hapo sawa! Nimekuelewa ipasavyo ila bado Nina swali la nyongeza je Kuna option ya mwajiri ku reject Ombi la vacancy request? Coz nasikia nwajur huatakiwi kuzuia Ombi la mtumishi, Sasa hii imekaaje mana umesema mwajiri alilizia Ombi kwenda destination organization?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Ndio nimeelewa Yan ndo washakupa huyo nafasi kwa kuaccept ktk mfumo,, kwahy kwann useme mwajiri wako hawezi kukuzuia? Ndo nataka kuelewa perspective hii
  4. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Kwani ukiomba kupitia vacancy request mwajiri hawezi kucomment kukataa uhamisho wako? Ebu nipe shule ktk hili
  5. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Good 👍
  6. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Oooh kumbe ahsante! Hongera kwa uvumilivu, ko barua inatola mule mule katika mfumo au physically?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Kwakwel ila wameandika APPROVED au bado iko your transfer approval status PO-PSMGG
  8. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Aiseee! Ila Mungu yu mwema
  9. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Habari! Vipi umefikia wapi jambo lako?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Kulingana na waraka wa katibu mkuu km mkuu wa taasisi hatapitisha kwa wakati mpka imeenda next stage itahesabika kwamba Ombi hilo amelilizia. Kwahy hapo kuwa na amani
  11. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Imeenda kwa destination organization tayari,,, hivi Sasa inaenda yenyewe kwahy inaandika Nini kwenye huo mfumo? Mana mdimamizi wa KAZI hajatia neno ko imeenda mbele yenyewe? Ebu nipe experience kaka
  12. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Mmmh una experience na iko kitu coz mm Leo ni siku ya 14 haijaenda mbele bado IPO ktk taasisi yangu?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Habari! Umeongea vema mnoo,, kwasasa mfumo unaruhusu kwa kwenda ikiwa muhusika hajaifanyia kazi,,, swali langu je kwa upande huu wa vacancy request na kwao Kuna time limit ikiwa mkuu wa taasisi hajaifanyia kazi inaenda kwa destination organization?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Nimekuelewa vizuri sana,,, sijaona kosa langu coz ukisoma uzi wangu nimesemema wengi wao na sijasema kwamba wote ni watoto.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Hakuna taaluma pasi na maadili ndio maana utasikia umekiuka maadli ya taaluma yako. Imagine binti yako anarudi nyumbani kwa kupewa ujauzito na mwalimu wake je kama mzazi utajisikiaje? Kwanza kusema maadili na taaluma haviendani kusingekuwa na dressing Code kwa wanafunzina na watumishi wa umma...
Back
Top Bottom