Recent content by mwiniko

  1. M

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    tufike hatua tufahamu unyeti na mipaka ya tukio. huwezi ukasema kuwa ule msafara wa lowassa ulikuwa unadhumuni la msiba kama ni kweli kwann wakusanyane namna ile harafu ustaarabu ungekuwaje na watanzania wangewachukuliaje ktk eneo la msiba tuache kugeuza msiba au maiti kuwa mtaji wa siasa
  2. M

    Jaji Augustino Ramadhani achukua Fomu kugombea Urais wa JMT

    mambo sasa yameivaaa ndani ya chama kubw ndugu ramadhani
  3. M

    Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

    mungu awe nawe prof makini
  4. M

    Samweli John Sitta: Sioni mgombea wa urais wa kupambana na ufisadi mpaka sasa

    ila anatakiwa atoke wapi.sita fundi hawezi kumfichia mtu maovu yake
  5. M

    ACT- Tanzania: Taarifa kwa vyombo habari

    hebu tutafakari vyama rafiki act. wanafanana na cdm
  6. M

    Lowassa, Pesa unazozitumia hivi sasa utazirudishaje?

    mbona hamuuliz kuhusu chadema hakuna kampeni isiyotumia pesa tuwe tunafikiri kwanza swali hilo waulizen wagombea wote akiwemo slaa
  7. M

    Siri ya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya yavuja

    achen propaganda pinda mna mlaumu bure awezi kuingiza majina bila makubaliano na jamaa
  8. M

    Mbatia kutimuliwa UKAWA?

    hali ni ngumu ukawa acha mpasuko wa vyama bado hata chadema wanampasuko mkubwa kundi la zuber linakuwa kwa kasi na akifikia malengo anahama chadema ndio mwisho wao.tatizo cdm wao hujihis ni wa safi kuliko wenzao kumbe nyani haoni kundule
  9. M

    Mafisadi nao wakitoa misaada tukahoji tutaeleweka?

    je unafikiri ni nani anayetoa bila kuwaza faida hivyo yeyote anae tumia pesa zake kusaidia ana lengo la kujinufaisha mwenyewe.kama hivyo ndivyo basi hata wapinzani watumiayo njia hiyo wana lengo hilo jiulize kuhusu mgombea unae muamin na utafakari juu ya kampeni zake kama zinacheza na huo...
  10. M

    Viongozi wa CHADEMA wafunguliwa kesi ya UCHOCHEZI baada ya polis kuua kwa Risasi

    ccm na vurugu wapi na wapi sema ninyi hata mkipata asilima chache mnajitangaza kuwa mmeshinda ila mkaibiwa kula.vurugu ndio mnajua
  11. M

    Sheikh Mohamed Iddi na vitabu vya Frederick Sumaye na Januari Makamba - Uchaguzi 2015 ni kazi pevu

    ufinyi wa kuwaza inamaana tz hii mtu bora ni slaa pekee watanzania tusinunuliwe kimawazo kiasi hiki
  12. M

    Mwigulu kama Kikwete

    uadilifu wa mtu ndio tuuangalie wananchi wenzangu hata kama tunabadili chama kwa kutaka tunayofikiri yatakuwa bado uwezekanp wa kuyakosa upo kutokana na uadilifu wa kiongozi mwenyewe. kwasababu hakuna chama chenye sera mbovu ukitaka kujua hilo tafuta au angalia sera hata za TLP utagundua hili...
Back
Top Bottom