tuache siasa za ccm na chademe hapa, hizi ni seriuos sana, ninachojua kusali ni maandalizi ya maisha ya kifo, na anayejua maandalizi sahihi ni yapi, sasa kulazimisha mimi nifuate imani yako hata naona inakosea ni ujinga sana. Unataka mchinja mtu/ rafiki yako sababu haendi msikitini inatisha...
duuu watanzania sasa tumezidi majungu, tumekuwa watu wa kusikiliza kitu hata kwa mwendawazimu unaamini bila kutafiti, yaan wewe ulishindwa kuangalia hata majina ubavuni mwa gari, au hata bima na hata kadi za magari ukajihakiki. Hao watu wa Custom kama walikuwa wanapitisha tu bila kulipiwa...
achane kutetea ujinga, mtu akifanya vibaya aongelewe kwa ubaya wake, msilete ushabiki wa kitoto hadi mnajisifu kwa kutukana. Huyu jamaa ni kiongozi wa Nchi lazima atimize alichokubali kukifanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.