Recent content by Mwimege

  1. M

    Kukubali kutumiwa kumewaponza Viongozi wa Uhamsho

    CUF wa ajabu sana nakumbuka sera yao ya jino kwa jino. wasifanye hivyo
  2. M

    KIINI CHA KUFUNGWA SHULE YA SEKONDARI KIBITI (Vurugu zenye mlengo wa kidini)

    tuache siasa za ccm na chademe hapa, hizi ni seriuos sana, ninachojua kusali ni maandalizi ya maisha ya kifo, na anayejua maandalizi sahihi ni yapi, sasa kulazimisha mimi nifuate imani yako hata naona inakosea ni ujinga sana. Unataka mchinja mtu/ rafiki yako sababu haendi msikitini inatisha...
  3. M

    Magari ya Rizwan

    duuu watanzania sasa tumezidi majungu, tumekuwa watu wa kusikiliza kitu hata kwa mwendawazimu unaamini bila kutafiti, yaan wewe ulishindwa kuangalia hata majina ubavuni mwa gari, au hata bima na hata kadi za magari ukajihakiki. Hao watu wa Custom kama walikuwa wanapitisha tu bila kulipiwa...
  4. M

    Mbowe akacha harambee ya kanisa Moshi!

    achane kutetea ujinga, mtu akifanya vibaya aongelewe kwa ubaya wake, msilete ushabiki wa kitoto hadi mnajisifu kwa kutukana. Huyu jamaa ni kiongozi wa Nchi lazima atimize alichokubali kukifanya
Back
Top Bottom