30s in muda wa kuwa smart kwa kila kitu unachofanya,so lazima kuwa kuwa me/ke muhimu kama ulishaanza kujitegemea.nimependa huu Uzi sema watu wanazunguka mbuyu!
Ni vema ukaanza ww kwenza, jua ni biashara gani unataka kufanya na sisi tukusaidie ushauri! Mtaji wako unatosha kuanzisha biashara ndogo. all the best....
Mimi nadhani tuwe na subra huku tukiendelea kutafuta mahala pengine, naona waliowengi wanaconfirm kwa wasiohusika, Si kitu rahisi kwa MCB kukubali kuwa walishatangaza kazi kama walishatoa jukumu kwa recruitment agency. Tumesahau kwamba Quality service wamepewa jukumu na ndiyo wana majibu yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.