Recent content by Mweusi alisi

  1. M

    Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

    Huku kidete mkoani morogoro mawakala wa wa ccm ni wagombea na na wazimamizi wameshindwa kuwaondoa je, ni haki.
  2. M

    Hawa Ghasia ni mweupe kweli kweli! Sijui huo uwaziri kaupata kwa vigezo gani!

    Nahic ata cc wananchi tunatakiwa kubadilika sababu hawa viongozi wabovo ambao ni mizigo ua tunawachagua sisi wenyewe! Tukiendelea kulinda CCM tutazidi kulitokomeza taifa.
  3. M

    Muhongo: Mimi Bado Waziri!

    Napita jamani nawahi usafiri wa kwenda dar maana kesho asubuhi itakua shida kwenye kukata tiketi
  4. M

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Huyo bwana ni bingwa wa kucheka Cheka sasa sidhani kama leo atapaswa kucheka kutokana na hili linaloendelea ambalo ni aibu kwa taifa.
Back
Top Bottom