Nilifanya kazi katika taasisi moja ya serikali kwa Mara ya kwanza nilipewa mkataba wa miezi mitatu, baada ya kuisha nikaongezwa miezi sita.
Hali iliendelea hivyo kila baada ya miezi sita niliongezwa tena miezi sita mpaka imefikia miaka minne na miezi minne kazini baada ya mkataba wa mwisho...
Hizo sehemu unazoziita classic utaenda nunua juice kwa tsh. 3000 na matokeo yake ukapate fleva ya muwa baada ya muwa wenyewe, maana muwa mmoja utaachanganywa na Lita 20 za maji na sukari nyingii uswazi ndio kila kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.