Recent content by mwenyekt

  1. M

    Njia rahisi ya kum spy mpenzi wako kwa kutumia whatsApp web

    Ni smartphone tu jamani..je kama unataka kum-spy mwenye kinokia cha tochi unafanyaje?
  2. M

    Bajaji aina ya TVs inauzwa

    Simu yangu ni 0712 446801
  3. M

    Bajaji aina ya TVs inauzwa

    Wadau nauza bajaji yangu aina ya TVs no; T279 CRW inafanya kazi inapaki tegeta nyuki bei milioni nne (4,000,0000/=)
  4. M

    Naomba msaada wa kisheria kuhusu sheria ya kazi

    Nashukuru kwa maoni, ushauri wenu wadau.
  5. M

    Naomba msaada wa kisheria kuhusu sheria ya kazi

    Nilifanya kazi katika taasisi moja ya serikali kwa Mara ya kwanza nilipewa mkataba wa miezi mitatu, baada ya kuisha nikaongezwa miezi sita. Hali iliendelea hivyo kila baada ya miezi sita niliongezwa tena miezi sita mpaka imefikia miaka minne na miezi minne kazini baada ya mkataba wa mwisho...
  6. M

    Usichokijua kuhusu juice ya miwa

    Hizo sehemu unazoziita classic utaenda nunua juice kwa tsh. 3000 na matokeo yake ukapate fleva ya muwa baada ya muwa wenyewe, maana muwa mmoja utaachanganywa na Lita 20 za maji na sukari nyingii uswazi ndio kila kitu.
  7. M

    Maziwa ya BROOKSIDE yana sumu?

    Bila kutoa taarifa iliyokamilika ujumbe rasmi unakuwa haujafika kwa walengwa, mtoa mada fafanua zaidi.
Back
Top Bottom