Hivi karibuni pamekuwepo na malalamiko mengi sana ya kutapeliwa kwa baadhi ya watanzania wanaoshirikiana na makampuni ya nje kibiashara, ni changmoto ambayo imekuwa ikiwakumba raia wengi wa Tanzania juu ya makampuni ya kitapeli ya kigeni wanayo fanya nayo biashara.
Ni ukweli usuo na kificho...
Mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni SACCOS, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania Mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
Mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni SACCOS, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania Mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
Hivi kuna sku CCM itaacha kuongozwa kiukoo? Naombeni msaada wenu....... naona mumo wa CCM katika uongozi hautofautini na CHADEMA labda CHADEMA wapo kikandazaidi........
Hivi kuna sku CCM iyaachwa kuongozwa kiukoo? Naombeni msaada wenu....... naona mumo wa CCM katika uongozi hautofautini na CHADEMA labda CHADEMA wapo kikandazaidi........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.