Mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni SACCOS, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania Mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
Kama wewe unavyopendwa na mumeo?Kweli kuna watu wanapenda vibaya
Elimu ya Mwenyekiti ni sawa na ya mumeo ambayo ni darasa la nneElimu yangu ni kama ya Mwnyekiti................naomba unikumbushe Mwnekiti elimu yake ili nikujibu mkuu
nitajie faida mbili tu za uongo ulizopata tangu uanze kuongopa .