Mwenezi ACT
Member
- Apr 11, 2015
- 36
- 7
- Thread starter
- #21
Kufa haifi kwani watu wamesha amua, wanasema ya jiani kwao ndiyo kumevunda kabisa
Mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni SACCOS, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania Mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
Chama ni chake, jengo ni lake, malori ya loudspeaker ni yake. Sasa tatizo liko wapi?
Mkuu waliambiwa wakbisha , kuwa CHADEMA ni biashara ya Mbowe and Family bado hadi leo watuu hawasituki.
Na hiyo ruzuku atakula vipi jengo lilkijengwa.
Yeah, shamba la bwana Heri, minazi ya bwana Heri, gari lililogonga minazi la Bwana Heri, Dereva ni mtoto wa bwana Heri, basi yote heri!.
mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni saccos, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
Kweli kuna watu wanapenda vibaya
hivi kijana umeishia darasa la ngapi ?Kweli hato kufa kwani inawatu walio amua kujitolea maisha yao kunenepesha mfuko....
Kufa haifi kwani watu wamesha amua, wanasema ya jiani kwao ndiyo kumevunda kabisa
una akili sana hadi unashangaza !kweli nimeamini mtu mbumbu zaidi duniani anatokea Tanzania
chadema bi saccos watu wanapiga ruzuku tu
Mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni SACCOS, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania Mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
nitajie faida mbili tu za uongo ulizopata tangu uanze kuongopa .Mkuu waliambiwa wakbisha , kuwa CHADEMA ni biashara ya Mbowe and Family bado hadi leo watuu hawasituki.
Na hiyo ruzuku atakula vipi jengo lilkijengwa.