Recent content by mwenendo

  1. mwenendo

    Madaraja ya kiwango cha ufaulu sasa ni sawa

    MADARAJA YA KIWANGO CHA UFAULU SASA NI SAWA Serikali ilitaja madaraja 1 hadi 5 kuwa yatumike kutoa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne. Madaraja hayo ndio yaliyokaa vizuri. Madaraja ya zamani yalikuwa yanatokana na alama ambazo ziko kwenye grafu iliyopinda kulia (skewed right). Hivyo grafu...
  2. mwenendo

    Madaraja ya kiwango cha ufaulu sasa ni sawa

    MADARAJA YA KIWANGO CHA UFAULU SASA NI SAWA Serikali ilitaja madaraja 1 hadi 5 kuwa yatumike kutoa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne. Madaraja hayo ndio yaliyokaa vizuri. Madaraja ya zamani yalikuwa yanatokana na alama ambazo ziko kwenye grafu iliyopinda kulia (skewed right). Hivyo grafu...
  3. mwenendo

    Mbunge wa Moshi vijijini aibia Wananchi Milioni (240)

    Sasa na nyie wananchi msiwe mambulula, mmeshafanya kosa la kwanza msirudie tena, mlichagua CCM mtu wao amewaibia, labda wana sera za Chukua Chako Mapema mtajuaje? Ni muda muafaka wa kutafakari mtu wa chama kingine kinachotoa upinzani wa kweli TZ na kumuweka agombeee.
  4. mwenendo

    Prof. Mukandala Maliza Rushwa hii UDSM

    Ndugu yangu Goodluck, Prof. Mukandala sio kwamba hafahamu hiyo rushwa, yeye ana fungu lake kwenye hayo makusanyo, sasa ni kiongozi gani usiyejua mambo yanayoendelea ndani ya taasisi yako na kuyafumbia macho kama hupewi mgawo? Prof. kama hutaweza kupiga vita rushwa hii tutaingilia kati, fanya sasa.
  5. mwenendo

    SUA kuna balaa gani? Warembo wao mbona wamefanana na kilimo?

    Wewe unaonyesha ulienda kimalaya kutafuta machangudoa, pale wasichana wameenda kusoma, kama unataka malaya wenzako nenda Dar Ustawi wa Jamii utawapata tena kwa bei rahisi.
  6. mwenendo

    Tume ya kuchunguza matokeo ya mitihani ni sahihi

    TUME YA KUCHUNGUZA MATOKEO YA MITIHANI NI SAHIHI ​Taarifa kwa ufupi ya Tume ya kuchunguza matokeo ya mitihani iliyoteuliwa na Mh. Pinda, inaporipoti kuwa mitihani ilikuwa ni madudu na ilitayarishwa na watu wasio na sifa ni sahihi. Baadhi ya maprofesa waliojitokeza kuipinga tume hiyo...
  7. mwenendo

    Tume ya kuchunguza matokeo ya mitihani ni sahihi

    TUME YA KUCHUNGUZA MATOKEO YA MITIHANI NI SAHIHI Taarifa kwa ufupi ya Tume ya kuchunguza matokeo ya mitihani iliyoteuliwa na Mh. Pinda, inaporipoti kuwa mitihani ilikuwa ni madudu na ilitayarishwa na watu wasio na sifa ni sahihi. Baadhi ya maprofesa waliojitokeza kuipinga tume hiyo, mawazo yao...
  8. mwenendo

    Natafuta mpenzi

    Weka picha yako na majibu ya ukimwi ya hivi karibuni.
  9. mwenendo

    Engineers wa Tanzania

    Hayo ni kweli kabisa
  10. mwenendo

    Msaada kwa wale wa UDSM

    Fuatilia matangazo magazetini
Back
Top Bottom