Hongera Ila ni ngumu kuwaepuka HAWA maana wana mbinu kila kunapokucha.... nirijaribu hivyoo mwisho nilishindwa..... anaweza akaja kwa njia nataka nikuoe mpaka kwenu akawa anakuja na akatoa na mahari pia hapo ukamwamini ukajua huyu ndie uliyekuwa unamtafuta ukampa na kakuacha njiapanda na mahari...
Chezea maombi wewe mwacha akuombeee kwani wewe unapungua nini akikutaja jina lako bora hata huyo Anayekukumbuka hata kwenye maombi pepo mbaya huyu anayekufanya urfkirie kumpiga makofi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.