Recent content by mwelyaaa

  1. mwelyaaa

    Nimeamua kuwa na Mchepuko. Mke Haeleweki, mawasiliano kila siku na wakwe, mashemeji, mawifi, wa X- Wake

    Mkuu binafsi naamin wanaume ndio tunapenda wanawake wanapaswa kuonesha na kufanya UTII ktk ndoa na malez ya familia... Kama hatii wala kusikia neno lako nakushauri hamisha upendo kwa watoto na tafuta namna ya kumtoa ktk milki yako Amiin amin unaweza japo unapaswa kubumilia maumivu
  2. mwelyaaa

    Simulizi -2 Hours of Memories (Espionage and Science)

    Jamaa toka mwaka jana kakimbia mazima.
  3. mwelyaaa

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Vivian ni yule bint alokuwa mwenye nyumba wa roma kule mbagala akapata udhamin wa kampuni ya edna kwenda nje kusoma na kaka yake akapandikizwa figo pale mloganzila.
  4. mwelyaaa

    Nimeingia kwenye mahusiano na mwanamke wa rafiki yangu pasipo kujua

    Kwa hiyo jamaa analia kabisa kwa watoto wa kisingida? Daah aisee ndo mana bandari imeuzwa kumbe
  5. mwelyaaa

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Amesema kesho asubuhi
  6. mwelyaaa

    She wants to pay me "in kind"

    Ili ulipwe kama utakavyo kesi iende mbele kidogo labda kwa mumewe
  7. mwelyaaa

    Natafuta Mpenzi

    Husika na kichwa cha habar hapo juu. Mimi ni mfanyakazi katika taasis binafsi, umri miaka 36, natafuta mpenzi wa kufanya nae maisha awe dini yeyote umri 23 mpaka 45.
  8. mwelyaaa

    Nilikutana na mzungu asiye na hela kwenye "Dating app"

    Dont trust anybody.. Girls mna higher expection sana just lower your expections
  9. mwelyaaa

    Sifa za wanawake wa kiganda (Ugandan ladies)

    [emoji28][emoji28][emoji28] penzi jipya alafu unajitangazia jamhuricyako mapema hivi subir kwanza
  10. mwelyaaa

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Kazingua mno tena sana
  11. mwelyaaa

    Anzisheni mahusiano na watu wazima, hawa wa chini ya miaka 35 hawana tofauti na vitoto

    Mtoa mada anzisha group la mashangazi na utoe mwongozo Jaman ana HOJA asikilizwe tu
  12. mwelyaaa

    Hekaheka Uzeeni

    Umemaliza kila kitu UVUMILIVU NA UTULIVU KWELI NI TUNDA LA KHERI
Back
Top Bottom