Recent content by mweka hazina

  1. M

    Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

    Makuzi yetu asilimia kubwa yalibebwa na uoga uliopitiliza na kuonewa(tulikokuita kuheshimu wakubwa),ndio maana Hadi leo watu hawawezi kutetea haki zao za msingi.
  2. M

    Leo nimetongozwa na Binti mdogo tu

    Sasa umemjibu nini?
  3. M

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu chimbo la spear za pikipiki za gharama nafuu kwa kariakoo msaada
  4. M

    Naomba ushauri kuhusu biashara Spare za Pikipiki

    Kwa kuongezea weka na urembo wa pikipiki maana unatoka kwa Kasi siku hizi
  5. M

    Hayati Magufuli alifanyaje kudhibiti umeme kukatika?

    Dah! Kwa hiyo umeme haukuwa ukikatika kipindi cha nyuma
  6. M

    Kuagiza spare za pikipiki

    Wazoefu mko wapi mchangie na wengine tupate japo mwanga kidogo,,ingawa Kuna nyuzi zimezungumzia hii issue
  7. M

    Kuna cha kujifunza hapa!

    Hiyo nchi inayoruhusu mfalme akawinde peke yake,,,,jina tafadhali
Back
Top Bottom