Recent content by Mwebrania

  1. Mwebrania

    Toshiba laptop nauza

    laki 5 inapatikana mpya mjini kijana
  2. Mwebrania

    Career development

    thus an example guys
  3. Mwebrania

    Career development

    Environmental consultation: Many cities in developing countries did not consider the green in master city planning. Now its a time to take position to take over new planning in new cities to have greening. Welcome if you have an experience on environmental planning let join together to prepare...
  4. Mwebrania

    usaili manispaa ya kinondoni

    kweli ndg wenye kujua wawapashe wahusika
  5. Mwebrania

    Vietell Tanzania LTD (kampuni mpya ya simu) inatangaza ajira 2000 tanzania katika ngazi mbali mbali

    Kuna waliofanya oral interview December mwanzoni je, bado wanasubiri au walishaitwa kwa kazi???
  6. Mwebrania

    Tangazo kwa aliyepoteza cheti cha NECTA

    ujue ni mfuko lakini in othwr side ni msaada kwa waathirika wa hayo!!!
  7. Mwebrania

    Tangazo kwa aliyepoteza cheti cha NECTA

    OFFER KUTOKA NECTA waliopoteza vyeti sasa vyatolewa mbadala kwa gharama ya Tsh 100,000= Wasiliana nao kwa taarifa zaidi
  8. Mwebrania

    Mahakama kuu kanda ya DSM yajivua katika mgogoro

    Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imejivua katika mgogoro wa mamlaka ya Bunge la Katiba kuhusu ni kwa kiwango gani bunge hilo lina mamlaka ya kufanya marekebisho au kuboresho Rasimu ya Katiba Mpya iliyowasilishwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Badala yake...
  9. Mwebrania

    Tangazo la nafasi za kazi toka Jeshi la Magereza

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI (Jeshi la Magereza) TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA Jeshi la Magereza Tanzania Bara linatangaza nafasi za Mafunzo ya Awali ya Askari Magereza yatakayoendeshwa Chuo cha Magereza Kiwira Tukuyu Mbeya. Waombaji wa nafasi hizo wanatakiwa...
  10. Mwebrania

    Ni sababu gani zinamfanya mtu atembee na dada/kaka yake wa damu?

    Hiyo ni kukosa hofu ya Mungu, kukiwa na uhusiano mzuri na Mungu si rahisi kuwazia humo!! Ndugu ujanja ni kwa Yesu tu hakuna njia ya mkato!!!
Back
Top Bottom