Chuo chenyewe wamepanga sehemu tatu na hakipo Bagamoyo kipo kawe beach,kinondoni na makao makuu yapo mikocheni b Dar kule Bagamoyo ambako wanatarajia kukijenga bado ni mapori tu hakuna lolote pale wanamipango miingi bila mafanikio yoyote yale, wamiliki wake wapo kimasilahi ni watu binafsi...
Nakushauri usikichague maana mimi nilikuwa nasoma hapo lakin niliahirisha kwa sababu ada kubwa miundominu mibovu maabara zilizopo ni afadhali na za shule za sekondari so nakushauri kama unajipenda usiende hapo ni majanga matupu
Kama hukwenda chuo inamaana huna registration number, kama huna reg. Numba hujatambulika na tcu kwamba wew ni mwanafunzi qa chuo fulani kama wew c mwanachio ya nin uende tcu wew apply tu upya haina shida kabisa kwa hiyo ondoeni mashaka kinachoangaliwa ni reg: number tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.