ni mnyarwanda kabisaaa amekaa sana Tanzania kule kagera anamiliki heka kibao za ardhi ameajiri wanyarwanda wenzie weeeeeengi waliokua wanamtunzia mifugo ndiye alikua anawakingia kifua wannyarwanda wengi waliokua wanaishi kagera wasirudishwe kwao. TANZANIA SHAMBA LA BIBI
Huyu profesa alikua hapa TZ tena aliwahi kuwa dean wa udsm, ana ma estate huko kagera ameajiri wanyarwanda wenzie tu. amerudi kwao na kupewa nafasi ya uwaziri wa miundombinu. MMM Kweli Tanzania shamba la bibi
Professor SILAS LWAKABAMBA ambaye ni waziri wa ujenzi wa Rwanda ni mnyarwanda wa muda mrefu ila alikaa Tanzania anakula nchi tu kama Mtamzania. ana miliki Ngombe nyingi na heka nyingi sana kAGERA AMEAJIRI WANYARWANDA TUUUUU. Kweli Tanzania shamba la bibi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.