Mkuu naheshimu maoni yako, lakini nikufahamishe kuwa kosa moja la mwanataaluma wa habari lisikufanye uichukie tasnia nzima ya habari ikiwa pamoja na waandishi wake, tunao waandishi makini, weledi, wasomi na wanaofanya kazi zao kwa utaalamu zaidi, Mkapa si Malaika kuwa kila tusi lake lina...