Recent content by Mwasubi

  1. M

    Rais Magufuli awashangaa Kagera: UKIMWI nyie, tetemeko nyie, mna mto unaitwa Ngono na Kijiji cha Katerero

    Nakumbuka miaka ya 90s kulikuwa na kitabu Fulani kilikuwa na chapter inasomeka "Gulio katerero" nilipokuja kujua maana ya katerero huwa najiuliza aliyeandika akikuwa na maana gani?
  2. M

    Rais Magufuli awashangaa Kagera: UKIMWI nyie, tetemeko nyie, mna mto unaitwa Ngono na Kijiji cha Katerero

    How do you know hatumii kilevi? its personal life you never know bwana,
  3. M

    Dr. Kigwangallah unapotea, tafuta staili nyingine

    Duh hatari sana HIVI KUWA WAZIRI NDIO KUJUA KILA KITU AU KUWA NA UELEWA MKUBWA? UNACHEKESHA NDUGU, ILA C KOSA LAKO PENGINE NI MFUMO WA KUTETEANA
  4. M

    Dr. Kigwangalla ajibu malalamiko ya wananchi kuhusu sakata la kuwafungia watumishi wachelewaji geti

    ok , sorry my naib waziri cdhani kW kiongozi mkubwa wa serikali namna hii unalleta thread hapa ya namna hiyo. kW uelewa wangu kila kitengo kina HRO ambaye ndo anafanya monitoring ya subordinate wrote, how comes we unafunga mageti? where is the chain of command here, angalieni sana mkuu. mambo ya...
  5. M

    Msaada wa namna ya kupata cheti

    Wakuu, naomben mnipatie msaada wa kupata cheti kutka udsm, niko mbali sana, nitumie mbinu gani?
  6. M

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Kwa nimeshndwa kukutathmn hata uwezo wako ktk kuchambua siasa, u a too aro..!
  7. M

    Ziara ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa mkoa wa Mara (Serengeti,Tarime)

    Mabadiliko hayae pukiki kwa ss hpa nchini, kilichotoke leo mugumu ni mafuriko ya ajabu katka uwanja wa sokoine hapa mugumu mjin. Uwanja ulifurika balaa ila niwatahadhalishe kuna mtu ametupia picha humu cio ya kweli maana mm nilikuwepo uwanjan hapo. Mabadiliko..... Lowasa! Sasa anaingia Tarime!
  8. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mim mwl idara ya sekondar hapa wilaya ya serengeti, mara natafta wa kubadilishana nae yeye aje huku na mm niende mikoa ya njombe,mbeya na iringa aliye tayar tuwasiliane hapa 0763007066
  9. M

    Cheti cha chuo UDSM

    Jamani naomba msaada kwa anayejua hili, ninahitaji kutumiwa cheti changu kutoka UDSMnaomba ushauri nifanyeje na niko mkoa wa mara. Kama kuna mtu anaufahamu anisaidie namna ya kufanya au kuniunganisha na mtu anayehusika. Asante wakuu
  10. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mi niko shule ya Ikoma km 5 kutoka mjin ila ninavyojua ni kwamba ukipata c lazma uende shule ninayotka, ni idara ya sekondari
  11. M

    Interview UDOM

    Jamani naomba kuuliza. Nilikuwa nafuatilia jinsi udom wanavyoita watu kwa ajili ya interview katka college mbalimbali. Cha kushangaza mpaka leo college of Education cjaona, tafadhali wadau mwenye update anijuze. Naomba kuwasilisha
  12. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ni mwalimu nipo halmashauri ya wilaya ya serengeti, natafuta wa kubadlishana naye mi niende mwanza au magu. kama vp nicheki hapa 0684354543
  13. M

    Njooni tuzugumze

    Mwl nakushauri uende usome computer Engineering su IT ili ufanyiwe re categorization, utaumia bure nimewaona walimu wengi wa sayansi wametka kw njia hiyo
  14. M

    Education Management and planning

    Jamani naomba kuuliza, hivi Mwl aliyejiendeleza na kusoma Master of Education Management and Planning anaweza kupangiwa kazi gan ktk halmashauri anayofanyia kazi? Au anaendelea kufundisha darasani? Ana miaka 6 kazini, hebu wadau nipen msaada hapa
Back
Top Bottom