Recent content by mwast

  1. M

    Huyu ndiye Edward Lowassa

    Kweli kaka yani Kuwa na nywele c kuwa Na Akili
  2. M

    Mabalozi wa CCM wameanza sensa ya nyumba kwa nyumba

    Hapana kaka zangu hiyo in sensa ya mtaa kwa ajili ya kupiga kura za wenyeviti wa mtaa hu yo nawaombeni mjiandikishe wrote ili siku ya uchaguzi wa mwenyekiti usikose kupiga kura kwani uchaguzi wa mtaa hautumii card za mpiga kura Bali ni orodha ya wanna mtaa walioorozeshwa na hao mabalozi
  3. M

    Kama majibu ya Waziri ndiyo haya,Walimu wa Tanzania tuna hali ngumu

    Mbona hilo bunge lilisha kuwa comedy siku nyingi we unashangaa leo
  4. M

    Prof Lipumba akosoa uteuzi wa waziri wa fedha Saada Salumu

    Hivi Mh hakumwona Chaz Kimei Meneja wa CRDB mpaka anachagua huyo
  5. M

    Pamba Road mashimo yamezidi, mbunge upo wapi?

    Ina dhihirisha jinsi ulivyo ------- we unajua mmiliki wa hiyo Barbara nani kati tanrod name halmashauri au unaongea upumbavu 2
  6. M

    Dr. Slaa: Baraza jipya limechoka kabla halijaanza kazi

    Napita 2 mile simo
  7. M

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Mwigulu Mabomba yatatoa maziwa In mchumi daraja A
  8. M

    Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

    ina dhihirisha jinsi ulivyo mfinyu wa akili leta mada yenye maana ya kujenga nchi acha majungu
  9. M

    TCRA yaiamuru Star Tv kurudi Star Times kabla ya 10 jioni leo!

    nchi ya matamko isiyokuwa na sheria
  10. M

    TCRA yaiamuru Star Tv kurudi Star Times kabla ya 10 jioni leo!

    hata lisipokuwepo kwenye dish la nini
  11. M

    Kuku aina ya Kenbro

    AGALIZO Isije ikawa kama wale KUCHI watoka K
Back
Top Bottom