Tuache Politichi, bila kujali vyama kuna jambo la kujifu nza tusitetee tu.
Km ni Kweli walinzi wa viongozi wetu wanalindwa na watu wasio na ujuzi ni Hatari zaidi kwa viongozi na walinzi wetu pia.
Fikiria Dr. akiingizwa na kukutwa na hatia ktk hili kipindi hiki.
Nchi yetu tunaijua hasa kipindi...
Tv ya Zanzibar inaonekana na hata hapa naitizama. Ila mnaotumia antena papasi hamuwezi kuipata.
Ukishasema Tv Zanzibar ni maalum kwa Mambo ya Zanzibar, haina mambo ya Kigoma pia ujue. Ni Sawa na kusema mbona Tv Arusha haionekani Mtwara?
Acheni ujinga mkue.
Zanzibar ilikua nchi, walifanya Mapinduzi yao. Katika Mfumo wetu wa Muungano tumebakisha "Serikali ya Mapinduzi". Rais wa Zanzibar ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Hii ni Shughuli yake.
Yapo ya msingi tujielekeze huko
Dini hizi zinatufanya tunamwagana Damu na kuuana wakati zimeletwa na wakoloni na wafanyabiashara ya utumwa shit. Mimi ni Mtanzania, Mtanzania wa dini yoyote akipatikana kihalali ktk uchaguzi huru na wa haki inatoshaaaa. Msitugawe minyang'au nyie.
Hahaaaaa huyu jamaa anaishi wapi. Hebu soma alama za nyakati na tumia kilichopo kati ya masikio yako sio kifuani upande wa kushoto eeeh?
Watu wanahasira
Tuheshimu uhuru wa mawazo bila matusi. Kimantiki km unaunga mtu mkono ukamtetea kwa kutoa matusi huko ni kumtetea au De campaigning? Mwishowe tunabandikwa kundi, wale yao matusi tu maadili hawana. Hoja zipo tuzitumie bila matusi kama watu walolelewa na wazazi na kupata mafundisho ya dini
Hivi mtoa uzi kakanusha tuhuma dhidi ya huyu mama au anakubali ila anatuambia pamoja na hayo atarudi kwa sababu Watz tu vilaza? Naamini anatuona vilaza.
Mdomo ni miongoni mwa vitu vilivyomponza huyu mama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.