Recent content by Mwasapile

  1. Mwasapile

    Halotel 5g router

    Nahitaji 5g router ya halotel ya mchongo. Ambae package imemshinda anataka kuuza router anicheki. 0717217520 (whatsapp)
  2. Mwasapile

    Ni sawa mwanaume kumpa mwanaume mwenzake zawadi ya Birthday?

    Nina rafiki yangu leo kafikisha umri wa miaka 31. Sasa amenicheki hapa kuwa nimtumie zawadi ya muamala kwajili ya birthday yake: je hili limekaaje wadau wa JF? Mtu wa aina hii kijana mwenye nguvu muajiriwa kwa mshahara mzuri anataka zawadi ya birthday? Kuna usalama kweli hapa?
  3. Mwasapile

    Ni chuo gani hapa Tanzania huwezi mshauri ndugu yako asome hata iweje?.

    MUM ndio chuo gani aisee!? Kirefu cha MUM ni nini!?
  4. Mwasapile

    Kubadili dini

    Ivi wakuu muislam akisema amebadilisha dini na kuwa mkristo anatakiwa afanye nini kutuaminisha!?
  5. Mwasapile

    Router ya Nokia Fastmile 5G

    Kuna routers nyingine ukiwa kwenye eneo ambalo network haipo stable zinazingua sana ila zingine zinaperform vizuri, Sasa waliowahi tumia hii wanasemaje!
  6. Mwasapile

    Router ya Nokia Fastmile 5G

    yeah kwenye suala la coverage na stability,
  7. Mwasapile

    Router ya Nokia Fastmile 5G

    Habari wana JF, Kuna mtu anatumia router ya NOKIA kwenye huduma ya supakasi atuambie perfomance yake ukilinganisha na routers nyingine!?
  8. Mwasapile

    Font za EFD receipts

    Habari wana JF! Naombeni kwa anaejua font zinazotumika kwenye risiti za EFD, Katika pitapita za mitandaoni nimeona kuna Font inaitwa Bitmatrix E1; Hii inafanana sana na ile ya kwenye risiti za kielectroniki. Tatizo linakuja hiyo font inauzwa 99usd, Kwa mwenye font ya aina hiyo au yenye...
  9. Mwasapile

    Umewahi kukutana na Waajiri visirani?

    Habari wana JF! Katika safari ya kuajiriwa, nani amekutana na kasumba ya mabosi visirani "Toxic" pindi wanapotaka kuacha kazi. Share your experiences.
  10. Mwasapile

    Naomba ufafanuzi wa dawa aina ya amitriptyline

    Kwa mlikuwa mnameza dosage ilikuwaje!? Asubuhi na jioni au jioni peke yake. Na vidonge vingapi kwa siku!?
  11. Mwasapile

    Naomba ufafanuzi wa dawa aina ya amitriptyline

    Uliwahi itumia!? Sababu ya kuinywa ilikuwa ni nini!?
  12. Mwasapile

    Naomba ufafanuzi wa dawa aina ya amitriptyline

    Habari wana JF! Kama kuna mtu aliewahi kutumia au mtaalamu wa dawa aina ya Amitriptyline naomba feedback + effects
  13. Mwasapile

    Ugomvi na mke wangu kila nikipata pesa

    Hii tunafanya sana sana...tena haswa nikiwa sina pesa mapenzi yanakuwa ya moto sana
  14. Mwasapile

    Ugomvi na mke wangu kila nikipata pesa

    Yaani imekuwa kila mara nikipata pesa mke wangu analeta kamzozo.. Mpaka imefika mahala nawaza au hapendi nipate pesa! Nikipokea mshahara mara zote anasema nitoe pesa yote benki nilete mezani. Ofcourse anaweza akawa na hoja zake kuwa hata zikikaa benki huwa tunazitumia na zinaisha haibaki hata...
Back
Top Bottom