Recent content by mwasandubepeter5

  1. M

    Siri zavuja Nyalandu na urais, rais na baraza la Mawaziri, Mwigulu Mwiba

    pole na mchakato wa kampeni, jiifadhi upate kuifadhiwa kwa fadhira za huruma.
  2. M

    Jaji Warioba anaishi kwa mlo wa CCM kwanini anaishambulia Serikali

    Pole,kweli punguani ni wengi. wewe ni sawa na mtu anayecheka wakati wenzake wanaomboleza.
  3. M

    Wabunge wa CCM na MAIGIZO!!

    husiumize kichwa kumtambua kichaa we angalia matendo yake, ccm kwisha kabisa, na wana akili zisizokubali mabadiliko.
  4. M

    Mwigulu atema povu bungeni

    wacha tunyonywe tu, kwani sasa tumezoea kuburuzwa kama nguruwe pori.
  5. M

    Mmmmhhhhhhhhh

    umemkosa nini? changamka utampata wa kwako.
  6. M

    Mkuu Wa Wilaya Anapokabidhi Majukumu Kwa Kinana

    Husiofu hii ni Tanzania yetu, ukiwaza sana utapasuka kichwa.
  7. M

    Dr Slaa kuunguruma Temeke Jumapili hii

    Kweli kabisa inaonekana umerukwa na akili. hata wewe zuzu unachangia hivyo. kaa kimya
  8. M

    Kutakua na mjadala wa rasimu ya katiba saa 9:30 alasiri ITV

    Ndugu wana jamvi, leo hii namaanisha 4.5.2014, jumapili, kutakuwa na mjadala kuhusu rasmu ya katiba. miongoni mwa wageni ni mh. Jussa kutoka CUF, Nape-ccm, bwana mdogo Polepole, nawengineo. Msikose mjadala huo kwani waonekana utakuwa motomoto.
  9. M

    Huu ni mpango mkakati wa ukawa, naomba jijuze

    UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umefafanua hoja ya kuanzisha ushirikiano katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ni kujenga serikali imara yenye kuheshimu matakwa ya wananchi. UKAWA inaundwa na vyama vinavyounga mkono rasimu ya katiba ya serikali tatu iliyowasilishwa bungeni na Mwenyekiti wa...
  10. M

    Sitta apokelewa Mwanza kwa mabango ya Serikali tatu

    Sitta aonja shubiri Apokewa kwa mabango ya serikali 3 Mwanza Agoma kuendesha harambee ya machinga 04/05/2014 MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, na Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Samuel Sitta, jana alipata wakati mgumu baada...
  11. M

    Sitta yamemkuta...

    Sitta aonja shubiri Apokewa kwa mabango ya serikali 3 Mwanza Agoma kuendesha harambee ya machinga MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, na Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Samuel Sitta...
  12. M

    CHADEMA na usaliti kwa watu wenye nguvu kama Zitto Kabwe na sasa Tundu Lissu!

    CDM ni chama makini, watu makini na weredi ndio watakaostahimili kubaki ndani ya chama. Watu wote wenye fikra finyu hukurupukia mambo na yakawashinda. Daima kamanda T. Lissu
  13. M

    CHADEMA na usaliti kwa watu wenye nguvu kama Zitto Kabwe na sasa Tundu Lissu!

    CDM ni chama makini, watu makini na weredi ndio watakaostahimili kubaki ndani ya chama. Watu wote wenye fikra finyu hukurupukia mambo na yakawashinda. Daima kamanda T. Lissu
  14. M

    'Mzimu' wa Zitto ndani ya CHADEMA wamfikisha Katibu wa CHADEMA, CCM

    Nimeona akifuata kofia, tshet, na bukt 20000.
Back
Top Bottom