Pole sana kwa yalyokufika lakini kipmo cha iman yako kwan km unamin yote yawezekana kwa yeye atupiganie hakuna madhara yoyote ww cha kufanya beba silaha ya maombi unashnda vita kiurahisi kuwa jasiri wa kukemea hzo roho chafu
Pole xana ndugu yangu make inauma sana lakin hunabudi kupga moyo konde ili uwezi ishi naye lkn mdadis kwa kina kwan c mwaminifu pia kakuweka njia panda sana japo ulipaswa kujua kiZazi hiki si cha miaka ya sitan wao waliamini kutunza bikra ni sifa kwa wazaz versa kwa watoto wa bongo lala wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.