Recent content by Mwarabu mlokole

  1. M

    Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

    Mkuu nazungumzia ktkt huu mjadala ulio hapa jamvini. Wewe humuamini Dr Slaa Mimi simuamini Mbowe
  2. M

    Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

    Basi sawa, Wewe humuamini Dr Slaa Mimi simuamini Mbowe
  3. M

    Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

    Kwani wewe bado unamuamini Mbowe aliyehongwa na aliyemwita fisadi LOWASA baadae akala matapishi yake?
  4. M

    Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

    Dr Slaa hajaitafuta CHADEMA na wala hajaonba kurudi CHADEMA. Wazalendo wa kweli Dr Slaa, Adv Mwabukusi, Mdude nk baada ya kuona inchi inaingizwa kwenye mikataba ya kilaghai huku vyama vya siasa vikiwa kimya ndipo waka form hicho kinachoitwa Sauti ya Watanzania. Lengo ni kuunganisha nguvu za...
  5. M

    Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

    MBOWE ni msaliti hilo halitaki elimu ya PHD. Ni manyumbu tu ndio kawashika akili. Alituletea aliyemwita fisadi mkuu aje agombee Urais kupitia UKAWA. yaani Umoja wa Katiba ya Wananchi. Wakati huyo Lowasa hakuwa hata na mpango na hiyo katiba ya wananchi. Alipokatwa CCM akakimbilia UKAWA kwa...
  6. M

    Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

    Mimi hao jamaa niligoma kuwaelewa kuanzia ile gia ya angani. Ni vigeugeu hawaaminiki. Sasa hivi CHADEMA wanapambana kumlinda Samia kwanguvu zote. Wafuasi wao 2015 walibatizwa jina la NYUMBU. Ni kweli kabisa hawana tofauti na NYUMBU.
  7. M

    Je, Dkt. Wilbroad Slaa anajipenyeza CHADEMA kiaina kuimaliza kazi aliyopewa na CCM?

    Ukisikia upuuzi wa CHADEMA ndio huu. Mmegoma kuungana na sauti ya watanzania kupinga mkataba wa hovyo wabandari na pia kudai katiba mpya. Kutwa mpo humu kuwashambulia wenzenu personaly. Ambao kiukweli wanacholalamikia ndio madai ya wananchi. Sijui nyie wenzetu mpo kwa maslahi ya nani? Hii...
  8. M

    Mbowe: Sina nongwa na Dkt. Slaa, lakini hatuwezi kushiriki Mikutano yao ambayo hawajatushirikisha kwenye kuiandaa. Sisi tuna +255 Operesheni

    Tunaposema CHADEMA ya Mbowe ipo kwa ajili ya kuilinda CCM ya mafisadi muwe mnatuelewa. Anachosema Mbowe hajashirikishwa ni kipi? Kwamba suala la bandari tangu linaanza yeye yupo upande gani? Mbona CHADEMA hawawi wawazi katika hili? Au ni gia ya angani nyingine?
  9. M

    Kuna uhusiano gani kati ya Pesa, Umasikini na kelele

    Masikini ana amani muda wote, Kesho yake huwa inajisumbukia yenyewe. Hana kazi na hana hofu. Anamuda wa kutosha kufurahia Dunia. Masikini hafirisiki!
  10. M

    Wakili Mwakubusi: Vyama vya Upinzani kazi yao ni kufukuzia tu ubunge na ruzuku, haviwezi kulikomboa Taifa

    Naamini kitaundwa, ila sio rahisi kihivyo maana msajili wa vyama ni mteule wa mwenyekiti wa CCM. Uchaguzi ujao wazalendo wa kweli wataungana kupambana na hawa wanasiasa wahuni. Itatumika njia yoyote
  11. M

    Wakili Mwakubusi: Vyama vya Upinzani kazi yao ni kufukuzia tu ubunge na ruzuku, haviwezi kulikomboa Taifa

    Hao CHADEMA umesikia hata wakiongelea mkataba wa DP WORLD au mgao wa umeme? Tutafute njia nyingine za kupambana na CCM sio kutegemea hawa matapeli, wazee wa kucheza na fursa. Uchaguzi wa 2015 ulionesha dhahiri jinsi tunavyo chezewa akili na hawa wahuni. Vyama vya upinzani vilivyopo sasa vyote...
  12. M

    Wakili Mwakubusi: Vyama vya Upinzani kazi yao ni kufukuzia tu ubunge na ruzuku, haviwezi kulikomboa Taifa

    Mazombi km nyie ndio mtaji wa wanasiasa matapeli. Hakuna upinzani Tanzania wote matapeli tu, Ndio maana Ccm wanafanya wanavyotaka. Upinzani ulikuwepo angalau 2005-2015.
  13. M

    Wakili Mwakubusi: Vyama vya Upinzani kazi yao ni kufukuzia tu ubunge na ruzuku, haviwezi kulikomboa Taifa

    Huu ndio ukweli anaepinga ni mchawi. Wananchi wanataka mabadiliko ila vyama vyote vimejaa matapeli ikiwamo CHADEMA. Wananchi tumetelekezwa! Ogopa wanasiasa na siasa zao
Back
Top Bottom