Recent content by Mwarabu Faita

  1. Mwarabu Faita

    My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

    Mtume Muhammad (s.a.w) alishasema zama za mwisho uislam utagawanyika madheheb takriban 70 na waislam watakao fanikiwa kuipata pepo ya Allah ni wale watakaoshika Qur'an na sunnah za mtume na maswahaba zake, sasa kwa muislam wa kweli unaemuamini mtume Muhammas(S.A.W.) unapaswa kukubaliana na...
  2. Mwarabu Faita

    Una mtazamo gani juu ya mtu ambaye anataka kuwaridhisha sana wengine ili apendwa na watu wasimtenge?

    Kama wewe una hali kama la TT unaweza kushinda ‘tatizo la mvulana mzuri’ na kukuza uanaume wa kujiamini na wa kweli unaovutia mapenzi ya kimapenzi, hapa kuna hatua kadhaa anazoweza kuchukua: 1. Kuendeleza Thamani ya Nafsi Zaidi ya Kutegemea Kuthibitishwa na Wengine - Tambua Thamani za Ndani...
  3. Mwarabu Faita

    Una mtazamo gani juu ya mtu ambaye anataka kuwaridhisha sana wengine ili apendwa na watu wasimtenge?

    Story ya TT Kuna huyu mwamba hapa nitamuita kwa jina la TT, story yake imetokea kwa wanaume wengi tu lakini wameshindwa kufunguka kwa wanaume wenzao ili wapate msaada. "TT anajivunia kuwahudumia wanawake kwa uaminifu na heshima. Anaamini sifa hizi zinamtofautisha na wanaume wengine na zinapaswa...
  4. Mwarabu Faita

    Una mtazamo gani juu ya mtu ambaye anataka kuwaridhisha sana wengine ili apendwa na watu wasimtenge?

    Jamaa poa sana ni mtu ambaye anataka kuwaridhisha sana wengine ili apate kupendwa na watu wasimtenge, lakini je ni sahihi kwa mwanaume kuwa "mtu poa sana"? Leo acha nikupe kisa cha 'JJ' jamaa poa sana na mke wake 'HH' JJ alitoa kipande cha karatasi mfukoni mwake na akaanza kukifungua...
  5. Mwarabu Faita

    Naomba kufahamu kuhusu course ya biomedical engineering

    Ajira zao wanakuwa wanaajiriwa kwenye hospital kabisa au wanafanya nje ya hospital
  6. Mwarabu Faita

    Naomba kufahamu kuhusu course ya biomedical engineering

    Mimi nimemaliza form six na sasa hivi nataka kusomea biomedical engineering ila sina ufahamu zaidi juu ya hiyo course na ajira zake kwahiyo mwenye ufahamu naomba anielekeze tafadhali
Back
Top Bottom