Naona bado hamjamuelewa mchiziz hapo juu, swali liko hivi, kila mtu alitoa buku 10, na yule muhudumu aliwarudishia kila mtu buku (Zile buku 3), hii inaleta maana kuwa kila mtu alitoa buku 9, na 9 mara 3 ni elfu 27,000 na yule muhudumu alibaki na buku 2 hivo inakuwa jumla 29000, buku iko wapi?