Habari wana Jf,
Naombeni mawazo yenu. Mie ni kijana mwenye umir wa miaka 21, najiandaa kuingia kidato cha 6. Nina mpenzi wangu ambae tupo umris sawa na nimeshawahi kufanya nae sex.
Ikifika mwezi wa tatu ndipo naenda shule na kujiunga shule ya bweni. Nimemuomba siku ya kuagana tufanye tena sex...
unaambiwa hiv siku zote mwanzo huwa ni mgumu ndugu yangu yawezekana huko mbeleni utakuja kuongezeka kulingana na ufanyaji wako wa kazi so, nenda tuu ukaanzie na huo kwan ajira siku hizi ni ngumu sana hata kama umesoma mpaka chuo kikuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.