Kwa kuishi kwangu nchi hii nikiwa jombe ndio kwangu na tukuyu ni asili ya baba na makete kwa wajomba, nakiri upo sahihi kitulo ndipo baridi ya kitaifa inapatikana hapo na vijiji jiran
Kuna vya kutoa huko ukavileta bongo, mfano malawi na zambia hawataki outdated products , nunua gari huko kama skrepa katakata valisha kwenye bod zenye usajili bongo uendelee kuteseka na biashara ya gari
Hilo sasa tatizo la nchi Yako , for sure mazingira ya biashara bongo magumu, watumishi wa umma bongo wanna ukiritimba sana kukupa to export permit wanataka rushwa
Binafsi napenda sana watanzania tufanikiwe na huwa najisikia vibaya watanzania tunavyosota , bongo ngumu sasa nashare experience yangu nA nyie, moja fahamu mimi ni dealer wa usifirishaji wa nafaka na soko langu kubwa ni nchi hizi 1. Congo drc 2. Zambia 3. Malawi ,
kuna fursa nyingi huko...
Ha ha haya mawazo ya kijinga sana ila huu ujinga wa kuvipiga vitoto vidogo na wake za watu nimefanya sana ila kwa sasa nimeacha. Fanya hivi kiambie nipe namba yako ya simu tu nikuweke vocha, humo weka pesa kuanzia hamsini na usiseme kitu, Baad ya muda mara unakuta kimejiwek status kimebinuA...
Umekurupuka kiongozi, watoto wangu ni kila kitu , so mke ajue Hawa ni Kila kitu na hata akizaa yeye ni watoto, sio niwatenge Hawa eti kisa nimezA wengine, wanawake wapo hivi anakubali kuishi na watoto wa mwanaume kama Hana watoto once akipata wake hawa wengine wanageuzwa ni adui , na hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.