Recent content by mwanyaluke

  1. M

    Vijana wa kiume chukueni ushauri huu

    Inakuwaje ukao single mother, mimi Nina single mother wangu nilimkuta na watoto wawili nilichofanya nikamzalisha mtoto wa tatu , then nikamjengea kanyumba ka kuishi nako nimeandika mwanangu ,ila naishi kwangu na familia yangu peacefully nikijiia upwiru naenda kupoza tu huko na kurudi
  2. M

    Kama unaikumbuka Mitandao hii ya Bongo ya Miaka ya 2000s wewe ni legend mwenzangu

    Waptrick ilinipa demu enzi hizo mtoto mmoja wa kihaya Tokea gongo la mboto , niseme ya moyoni sijapataga demu anakata viuno kama yule huku duniani, narudia Tena yule mwanamke hajapata kutokea Tena maishani, nimemtafta Kila Kona ya nchi nimhonge hata IST Bado simuoni , Huwa najiuliza ule...
  3. M

    Rafiki wangu amegundua mke wake anajihusisha na usagaji. Anaomba ushauri wenu

    Suluhisho ya hiyo ndoa ni jamaa amfukuze mke wake akuoe wewe. Unatumia mkundu kufikiria ee, mashoga mna kazi sana huku duniani na mtapata tabu sana mbinguni katika uto**" mbwaji wako umewaza tu kuolewa unapotuona wanaume wenzako unawaza tutakuoa na unaona fursa kwetu eti we mkundu, wengine...
  4. M

    Rafiki wangu amegundua mke wake anajihusisha na usagaji. Anaomba ushauri wenu

    Ipo hivi Nina rafiki yangu wa karibu sana, tunashirikiana mambo mengi sana , ukaribu wetu umefanya familia zetu pia ziwe karibu . Hii linafanya hata yanapotokea matatizo ya ndoa kwangu au kwake tuwe tunashirikishana na kushauriana hata kusuluhisha. Twende kwenye case yenyewe ( fact of the case)...
  5. M

    Mshikaji niliyeajiriwa naye pamoja amenipa hasira sana wakuu

    Ungekuwa serious na maisha ajira ya 2013 ungekuwa una miliki at least asset not less m100, mimi ajira yangu 2015 hat siwaonei wivu washikaji waliotangulia kazin
  6. M

    Tuliopiga pesa kwenye mbolea zenye ruzuku miaka 2010 hadi 2014 na kufirisiwa na Hayati Magufuli tukutane hapa

    Mwanangu alifirisika kabisa sasa ni bodaboda aisee , alishakimbia huko sumbawanga yupo hapa mtaani haelewii kipindi , money makes man mad ndio hii
  7. M

    Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

    Hapo huachi kazi ila unachofanya unaongeza Kasi Yako ya kufa na kupata vilema
  8. M

    Kuna siri gani ya Introverts wengi kutokea Blood Group O

    Na mimi najilaumu sana kuwa introvert
  9. M

    Kumbe Marehemu Ndugai Alikuwa na Wake Wawili?

    Hapo sijakuelewa unamuonea wivu ndungai au unawaonea wivu wanawake wa ndungai , au umekarariri Mila na desturi za ukiristo, mimi ni mkiristo hizo mboga nazichapa na mbili nimezihiadhi kama wake zangu
  10. M

    Kwanini wanawake wa Tanzania wanapenda sana bia za nje ya nchi?

    Wanataftiza stori za kupiga so wanapenda waseme nilikunywa bia flani au kinywaji flani chenye jina tofauti lakini all in all ni ushamba na umaskini unawasumbua tu , beer just a beer end product ya bia ni the same kunywa hata bia bingwa
  11. M

    Jinsi biashara ya kondomu ilivyonifilisi mwaka 2003 huku motivational speaker akiwa kisababishi

    Huyo mauki nimewahi achana na pisi yangu kisa huyo jamaa , manzee haelewii kitu Kila kitu anafanya references kwa mauki nikaona this is shithole from unscrupulous woman how Kila kitu anarejea huyo tukachana amekuja kujua miaka hii kuwa alikuwa mpuzi
  12. M

    Jinsi biashara ya kondomu ilivyonifilisi mwaka 2003 huku motivational speaker akiwa kisababishi

    Uzi pendwa kwa 2025 ni huu , kama ni true story dah ulitisha sana.
  13. M

    Malaika Wanaowasaili Maiti Kaburini ni wawili na wanajulikana kama Munkar na Nakiyr na ni weusi wenye macho kibuluu

    Sijaelewa kwa hiyo malaika wapo wawili tu wanaofanya hiyo kazi au inakuwaje sasa maana kila dakika binadamu anakufa je wao wanafanyaje sasa kazi mbona wana kazi ngumu sana
Back
Top Bottom