Recent content by mwanyaluke

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi inaweza kuwa tofauti nzuri ya umri kati ya mume na mke kwenye ndoa au mahusiano

    Biblia
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi inaweza kuwa tofauti nzuri ya umri kati ya mume na mke kwenye ndoa au mahusiano

    Ipi inaweza kuwa kuwa sahihi mwanaume anapotafta mke , je amzidi umri wa miaka mingapi, ,mwanamke na mwanaume wakiwa na umri SAWA au mwanaume akawa na umri mdogo kwa mwanamke inaonyesha panapatikana changamoto sana , Kwa mujibu wa dini yangu ya kikristo umri unaoshauriwa ni mume amzidi mke...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hivi wamasai wanavyopandisha mori huwa ni mashetani, hisia au akili kutoweka ?

    Chapa ngumi huyo morani aisee anatulia tuli na akili zinarudi vizuri
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kiume chukueni ushauri huu

    Inakuwaje ukao single mother, mimi Nina single mother wangu nilimkuta na watoto wawili nilichofanya nikamzalisha mtoto wa tatu , then nikamjengea kanyumba ka kuishi nako nimeandika mwanangu ,ila naishi kwangu na familia yangu peacefully nikijiia upwiru naenda kupoza tu huko na kurudi
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unaikumbuka Mitandao hii ya Bongo ya Miaka ya 2000s wewe ni legend mwenzangu

    Waptrick ilinipa demu enzi hizo mtoto mmoja wa kihaya Tokea gongo la mboto , niseme ya moyoni sijapataga demu anakata viuno kama yule huku duniani, narudia Tena yule mwanamke hajapata kutokea Tena maishani, nimemtafta Kila Kona ya nchi nimhonge hata IST Bado simuoni , Huwa najiuliza ule...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki wangu amegundua mke wake anajihusisha na usagaji. Anaomba ushauri wenu

    Suluhisho ya hiyo ndoa ni jamaa amfukuze mke wake akuoe wewe. Unatumia mkundu kufikiria ee, mashoga mna kazi sana huku duniani na mtapata tabu sana mbinguni katika uto**" mbwaji wako umewaza tu kuolewa unapotuona wanaume wenzako unawaza tutakuoa na unaona fursa kwetu eti we mkundu, wengine...
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki wangu amegundua mke wake anajihusisha na usagaji. Anaomba ushauri wenu

    Ipo hivi Nina rafiki yangu wa karibu sana, tunashirikiana mambo mengi sana , ukaribu wetu umefanya familia zetu pia ziwe karibu . Hii linafanya hata yanapotokea matatizo ya ndoa kwangu au kwake tuwe tunashirikishana na kushauriana hata kusuluhisha. Twende kwenye case yenyewe ( fact of the case)...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mshikaji niliyeajiriwa naye pamoja amenipa hasira sana wakuu

    Ungekuwa serious na maisha ajira ya 2013 ungekuwa una miliki at least asset not less m100, mimi ajira yangu 2015 hat siwaonei wivu washikaji waliotangulia kazin
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tuliopiga pesa kwenye mbolea zenye ruzuku miaka 2010 hadi 2014 na kufirisiwa na Hayati Magufuli tukutane hapa

    Mwanangu alifirisika kabisa sasa ni bodaboda aisee , alishakimbia huko sumbawanga yupo hapa mtaani haelewii kipindi , money makes man mad ndio hii
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

    Hapo huachi kazi ila unachofanya unaongeza Kasi Yako ya kufa na kupata vilema
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuna siri gani ya Introverts wengi kutokea Blood Group O

    Na mimi najilaumu sana kuwa introvert
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huwezi Kunitenganisha Na Wanawake Weusi Kwenye Papuchi. Ni Watam Mno Sijapata Kuona.

    Ha ha ha hii kali sana
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kumbe Marehemu Ndugai Alikuwa na Wake Wawili?

    Hapo sijakuelewa unamuonea wivu ndungai au unawaonea wivu wanawake wa ndungai , au umekarariri Mila na desturi za ukiristo, mimi ni mkiristo hizo mboga nazichapa na mbili nimezihiadhi kama wake zangu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa Tanzania wanapenda sana bia za nje ya nchi?

    Wanataftiza stori za kupiga so wanapenda waseme nilikunywa bia flani au kinywaji flani chenye jina tofauti lakini all in all ni ushamba na umaskini unawasumbua tu , beer just a beer end product ya bia ni the same kunywa hata bia bingwa
Back
Top Bottom