Inakuwaje ukao single mother, mimi Nina single mother wangu nilimkuta na watoto wawili nilichofanya nikamzalisha mtoto wa tatu , then nikamjengea kanyumba ka kuishi nako nimeandika mwanangu ,ila naishi kwangu na familia yangu peacefully nikijiia upwiru naenda kupoza tu huko na kurudi
Waptrick ilinipa demu enzi hizo mtoto mmoja wa kihaya Tokea gongo la mboto , niseme ya moyoni sijapataga demu anakata viuno kama yule huku duniani, narudia Tena yule mwanamke hajapata kutokea Tena maishani, nimemtafta Kila Kona ya nchi nimhonge hata IST Bado simuoni ,
Huwa najiuliza ule...
Suluhisho ya hiyo ndoa ni jamaa amfukuze mke wake akuoe wewe.
Unatumia mkundu kufikiria ee, mashoga mna kazi sana huku duniani na mtapata tabu sana mbinguni katika uto**" mbwaji wako umewaza tu kuolewa unapotuona wanaume wenzako unawaza tutakuoa na unaona fursa kwetu eti we mkundu, wengine...
Ipo hivi Nina rafiki yangu wa karibu sana, tunashirikiana mambo mengi sana , ukaribu wetu umefanya familia zetu pia ziwe karibu . Hii linafanya hata yanapotokea matatizo ya ndoa kwangu au kwake tuwe tunashirikishana na kushauriana hata kusuluhisha.
Twende kwenye case yenyewe ( fact of the case)...
Ungekuwa serious na maisha ajira ya 2013 ungekuwa una miliki at least asset not less m100, mimi ajira yangu 2015 hat siwaonei wivu washikaji waliotangulia kazin
Hapo sijakuelewa unamuonea wivu ndungai au unawaonea wivu wanawake wa ndungai , au umekarariri Mila na desturi za ukiristo, mimi ni mkiristo hizo mboga nazichapa na mbili nimezihiadhi kama wake zangu
Wanataftiza stori za kupiga so wanapenda waseme nilikunywa bia flani au kinywaji flani chenye jina tofauti lakini all in all ni ushamba na umaskini unawasumbua tu , beer just a beer end product ya bia ni the same kunywa hata bia bingwa
Huyo mauki nimewahi achana na pisi yangu kisa huyo jamaa , manzee haelewii kitu Kila kitu anafanya references kwa mauki nikaona this is shithole from unscrupulous woman how Kila kitu anarejea huyo tukachana amekuja kujua miaka hii kuwa alikuwa mpuzi
Sijaelewa kwa hiyo malaika wapo wawili tu wanaofanya hiyo kazi au inakuwaje sasa maana kila dakika binadamu anakufa je wao wanafanyaje sasa kazi mbona wana kazi ngumu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.