Recent content by mwanyaluke

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Kwa kuishi kwangu nchi hii nikiwa jombe ndio kwangu na tukuyu ni asili ya baba na makete kwa wajomba, nakiri upo sahihi kitulo ndipo baridi ya kitaifa inapatikana hapo na vijiji jiran
  2. M

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa kwenda Masasi, Njombe na Mbeya

    Superfeo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    Swali la kiwaki sana hili, hakuna ugonjwa mzuri
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mafanikio yako hayategemei umezaliwa katika mazingira gani.

    Mazingira na familia vinaamua asilimia 70 ya maisha yako
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hata ukiwa baba wa kambo mwenye upendo kupitiliza, watoto wa kambo wengi wakiwa wakubwa hukusahau na kurudi upande wa baba zao

    Aisee usilee mtoto asiye wako hasa mtoto wa kiume , huyo anarudi kwao TU, na wew baba mlezi ni fala tu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Kuna vya kutoa huko ukavileta bongo, mfano malawi na zambia hawataki outdated products , nunua gari huko kama skrepa katakata valisha kwenye bod zenye usajili bongo uendelee kuteseka na biashara ya gari
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Ha ha ha haya ndugu msomi na mpenda pesa hutaki hasara
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Ila hawali ugali wa mahindi wale jamaa sijui shida nini ,usijekurupuka na mahindi utachekwa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Hilo sasa tatizo la nchi Yako , for sure mazingira ya biashara bongo magumu, watumishi wa umma bongo wanna ukiritimba sana kukupa to export permit wanataka rushwa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Congo yote pana uhitaji wa chakula kwa kiasi kikubwa,ukiona unaogopa kuingia congo ishia kasumbalesa ila hapa pana matapeli
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Binafsi napenda sana watanzania tufanikiwe na huwa najisikia vibaya watanzania tunavyosota , bongo ngumu sasa nashare experience yangu nA nyie, moja fahamu mimi ni dealer wa usifirishaji wa nafaka na soko langu kubwa ni nchi hizi 1. Congo drc 2. Zambia 3. Malawi , kuna fursa nyingi huko...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Mimi kwetu jombe , na mbeya ni historia tu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu, mnavipataje hivi vitoto vya 2000? Maana nimejaribu kila mbinu nikafeli

    Ha ha haya mawazo ya kijinga sana ila huu ujinga wa kuvipiga vitoto vidogo na wake za watu nimefanya sana ila kwa sasa nimeacha. Fanya hivi kiambie nipe namba yako ya simu tu nikuweke vocha, humo weka pesa kuanzia hamsini na usiseme kitu, Baad ya muda mara unakuta kimejiwek status kimebinuA...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Wapuuzi wakubwa nyie mbeya pamekaa kishamba sana na hata nature ya watu wa mbeya ni ushamba na ujuaji useless kabida, mji hauna plan kabisa ule
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza mimi binafsi kwa watu, ndicho huyu mzee anasema

    Umekurupuka kiongozi, watoto wangu ni kila kitu , so mke ajue Hawa ni Kila kitu na hata akizaa yeye ni watoto, sio niwatenge Hawa eti kisa nimezA wengine, wanawake wapo hivi anakubali kuishi na watoto wa mwanaume kama Hana watoto once akipata wake hawa wengine wanageuzwa ni adui , na hicho...
Back
Top Bottom