Recent content by mwanyaluke

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mnaoshi na wawazi wenu wazee naomba msada wa mawazo

    Ipo hivi , mama yangu ni mwalimu mstafu, Mimi ndiye kijana wake wa mwisho, mama yangu ni mgonjwa wa Bp, ni mwaka wa tatu tangia amegundulika kuwa na Blood pressure Ukizingatia umri wake na Hali yake ya kiafya vinanipa wakati mgumu sana, mazingira yalivyo Mimi ni MTU wake wa karibu zaidi,kwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania 2080 idadi ya wanawake itakuwa kubwa kuliko wanaume

    Kwa wanaume wa Enzi hiyo itakuwa bonge la fursa ni mwendo wa kutifua tu vinembe, japo hata sasa tunatifua sana
  3. M

    JamiiForums Tanzania Speed 50km/h na speed 80km/h na upana wa Barbara zetu ni tumepitwa na wakati

    Sijakuelewa , kwamba wao wakipiga speed kubwa wanaruhusiwa au unasema hizi fujo za madereva wa serikali kuendesha vile wanataka kwa kisingizio kuwa wao ndio serikali, ukiangalia gari nyingi za serikali zimekaa kihatari sana
  4. M

    JamiiForums Tanzania Unatafuta wasaidizi wa Kazi, jitahidi upate mrundi at your own risk

    Sio wote mzee , ni kama vile tunaposema watu wa kusini lindi,mtwara na songea ni rahisi kupata papuchi haimanishi wote au tunaposema mhaya Malaya so kilA mhaya anazitesa nyeti zake
  5. M

    JamiiForums Tanzania Speed 50km/h na speed 80km/h na upana wa Barbara zetu ni tumepitwa na wakati

    Suala la speed limit Tanzania lina miaka mingi na experience yangu speed limit ipo karibu Kila nchi, na hata upana wa Barbara zetu zinazojengwa tanzania bado ukitazama vyema ni kama zimepitwa na wakati . Mfano nafananisha Zimbabwe na Tanzania kwenye haya mambo, eneo ambalo unatumia dkk 30...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Unatafuta wasaidizi wa Kazi, jitahidi upate mrundi at your own risk

    Saying no kwa mzambia ni kama kutangaza vita , mzed yeye anatoa tu uchi wake , ila wengi ni church mongers
  7. M

    JamiiForums Tanzania Unatafuta wasaidizi wa Kazi, jitahidi upate mrundi at your own risk

    Ukitaka mke mzee oa mkongomani yule kiswahili inamsumbua , yaani wapo loyal na very very submissive, Mimi baada ya kutafakari kwa kinA naomba ebola iishe nikajibebe tu mkongomani wangu yule, pia wengi wapo decent sana na mwanamke wa kikongo ndiyo anarisha familia, never ever usioe mzambia na...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Unatafuta wasaidizi wa Kazi, jitahidi upate mrundi at your own risk

    Kwenye mapambano yangu na maisha yangu nimefanya kazi na jamii na watu tofauti tofauti yaani watanzania na watu wa nje . Observation yangu ni hii warundi ni wachapakazi sana hujutii japo sio wote, wamalawi wa hovyo sana wanaminia pombe na ngono SI kiume Wala kike, Watanzania niliofanya nao...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Kwa kuishi kwangu nchi hii nikiwa jombe ndio kwangu na tukuyu ni asili ya baba na makete kwa wajomba, nakiri upo sahihi kitulo ndipo baridi ya kitaifa inapatikana hapo na vijiji jiran
  10. M

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa kwenda Masasi, Njombe na Mbeya

    Superfeo
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    Swali la kiwaki sana hili, hakuna ugonjwa mzuri
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mafanikio yako hayategemei umezaliwa katika mazingira gani.

    Mazingira na familia vinaamua asilimia 70 ya maisha yako
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hata ukiwa baba wa kambo mwenye upendo kupitiliza, watoto wa kambo wengi wakiwa wakubwa hukusahau na kurudi upande wa baba zao

    Aisee usilee mtoto asiye wako hasa mtoto wa kiume , huyo anarudi kwao TU, na wew baba mlezi ni fala tu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Kuna vya kutoa huko ukavileta bongo, mfano malawi na zambia hawataki outdated products , nunua gari huko kama skrepa katakata valisha kwenye bod zenye usajili bongo uendelee kuteseka na biashara ya gari
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Ha ha ha haya ndugu msomi na mpenda pesa hutaki hasara
Back
Top Bottom