Recent content by mwantui

  1. mwantui

    Nimegundua mke wangu ananisaliti. Niko njia panda

    Una watoto umezaa nae tayari?
  2. mwantui

    Kampuni za Bima zinasaidia au magumashi? Umewahi kufidiwa pesa, kutengenezewa au kubadilishiwa gari baada ya ajali

    Binafsi bima ilinisaidia sana ingawa kuna makampuni mengine ya bima ni wasumbufu sana.
  3. mwantui

    Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

    Mkuu pole sana kwa changamoto za ndoa.
  4. mwantui

    BMW wamekuja kivingine

    Nimecheka sana
  5. mwantui

    SUV gani nzuri kwa Milioni 40?

    Mkuu uliagizaga gari gani nipate ka ushauri kidogo kutoka kwako.
  6. mwantui

    Ndoa yangu ina hali tete

    Wakwangu namzidi miaka nane na hakuna shida yeyote..huyo kuna shida sehemu mkuu fuatilia mienendo yake vizuri.
  7. mwantui

    Zifahamu Engine oil

    Ni oil gani nzuri kwa subaru forester ya mwaka 2012
  8. mwantui

    Marufuku: Tabia zifuatazo kwa mwaka 2024

    Number sita nimeipenda
  9. mwantui

    Ipi ni bora kati ya Subaru forester (Isiyo na turbo) na Volkswagen Tiguan, zote za 2010?

    Chukua unayoipenda wewe…nimetumia matoleo matatu ya forester sijawahi kujutia.
  10. mwantui

    DOKEZO TRA mkoa wa Iringa ni kero kwa wafanyabiashara

    Tax~ (a compulsory contribution to state revenue.) kaombe upewe utaratibu mzuri wa kulipa madeni yako mkuu.
  11. mwantui

    Zipi tamu na chungu za mimi kumiliki BMW X3

    Mkuu go for Subaru forester ya kuanzia mwaka 2012
  12. mwantui

    Kati ya Belta, Premio, Allex na Raum, zote 1.5l, nichukue ipi?

    Chukua Premio hutojutia ,nimeitumia hii gari ipo vizuri sana
Back
Top Bottom