Hii ni Shule ya Msingi KIBISI iliyopo katika kata ya Kyimo Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya na hii ndiyo hali halisi ya madarasa wanayosomea watoto wetu.
Pia soma ~ Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tupieni jicho Shule ya Msingi Kibisi, hii miundombinu sio rafiki
Mwanongwa leo nimekatiza Mitaa ya Kiwira Wilayani Rungwe lakini nilichokutana nacho ni aibu sana kwa wilaya huu, yaani wauzaji wa ndizi wanapitia wakati mgumu sana kipindi hiki cha mvua, soko limejaa matope balaa hali inayohatarisha afya za wateja.
Viongozi liangalieni hili maana ni aibu kubwa.
Habari ndugu zangu, ndugu yenu Mwanongwa katika pitapita zangu leo nimeibukia maeneo ya Kabwe Jijini Mbeya.
Kuna mitaro maeneo ya Kabwe njia ya kwenda Block T ni janga kubwa sababu maji na inaleta kero kubwa kwa vyombo vya usafiri hii ni kutokana na maji hayo kuharibu barabara. Mitaro hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.