Za siku nyingi wana JF.Naomba msaada wa kujuzwa tatizo linalonikabili la kukwama katika baadhi ya hatua za kufuata wakati ninapolipia maombi ya Mkopo kwa njia ya M-Pesa.
Natanguliza shukrani zangu.
Finace2014 nashukuru mkuu,nimewapata baada ya kugoogle.Wanaitwa Pilli Misanah Foundation 'Back to life Sober house' wapo Kigamboni Dar es salaam.Wanaprograms mbalimbali na wanaishi hapo.
Asante sana mkuu kwa msaada wako.
Kweli Mrangi,walio wengi wako very complicated kwenye kufanya maamuzi ila ntajitahidi kama ulivyo shauri mkuu.Kwa sasa anavuta hajafikia kujichoma ndo maana nataka nimuwahi kabla hajaanza kujichoma.
Ty_Vigilante,ushauri wako nimeupokea kwa mikono miwili na naahidi kutoa mrejesho hapa juu ya maendeleo ya hii vita ili nindelee kupata mawazo yako mukuu.
Nashukuru sana Dalalitz,ntajitahidi niwaone Mwananyamala hospitali kama ulivyoshauli.Nilielezwa pia Ray C anashughurika na hili tatizo ila sijapata mawasiliano ya Foundation yake.
Tafadhari,ukijua zaidi ya huko Kigamboni ntashukuru mkuu ili nijue gharama na namna ya kupata hiyo uduma.
Nashukuru mkuu kwa ushauli wako mzuri.Naambiwa kua asipopata madawa hayo kwa siku kadhaa bila huduma nyingine mfano matibabu (ambayo siyajui ni ya aina gani) anaweza kupoteza maisha kwaajili ya 'Alosto'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.