Recent content by mwanjila Ninile

  1. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Wadau nataka kujiua

    Pole sana nini shida tueleze ili utue huo mzigo ulionao, naamini utakaa sawa kuleta tu hapa huu uzi ni njia moja wapo ya uponyaji wako na ungekuwa na nia kweli ya kujiua hata usingefika hapa ungefanya vitendo tu Hapa umekuja kwaajili ya kupata faraja - tukusaidie namna ya kutatua hilo tatizo au...
  2. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Tabora: Wanafunzi wa kidato cha 6 waliotaka kuchoma moto Shule ya Sekondari Milambo wakamatwa

    Duuh sio poa kuna mitoto mutukutu[emoji23]
  3. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Mimi nashindwa jinsi ya kulipia mkuu huko fasihinet.com maana password zangu nimezisahau siku niliyofungua nilikuwa nimepiga vyombo
  4. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Mbona tamthilia ya dunia haijadiliwi humu ndani

    Matangazo yao tu ndo yanakera
  5. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Mti uliotoa machozi Dumila

    Mkuu malizia
  6. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Umewahi au unaweza kukaa muda gani bila kushiriki mapenzi?

    Ni miaka mi 3 sasa tangu mume wangu afariki sijakutana na mwanaume mwingine na niko fresh tu
  7. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Singanojr umepigwa bomu congo au [emoji1787]
  8. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Nimekuwa teja aisee nazunguka huku balaa
  9. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?

    Nilimshuhudia mume wangu akiumwa saratani ya ini maumivu aliyokuwa akiyapitia hayaelezeki ilifikia hatua hata dawa za maumivu hazifanyi kazi ni analia muda wote huu ugonjwa usikie tu usibishe hodi kwenye familia yako
  10. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa yaua askari Polisi Wawili na Mtuhumiwa mwenyewe!

    Daaaah pumzika kwa Amani jirani yangu Alfred John, aisee alikuwa ni kijana mpole mno japo nilimuona kwa mwezi mmoja pale mpwapwa nimeumia sana [emoji24]
  11. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Nimeshazichoka vurugu za watoto, bora shule zifunguliwe

    Hadi kidaka tonge [emoji23]
  12. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Asante sana
  13. mwanjila Ninile

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Boss tukumbuke leo sijawahi comenti humu uzalendo umenishinda mkuu
Back
Top Bottom