Recent content by mwanika

  1. M

    JamiiForums Tanzania NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba kujua km usajili wa pikipiki mpya yaani numberless km ni wa ghali sana. Naomba ushauri kwa anayejua please!!
  2. M

    JamiiForums Tanzania NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    mimi nina tatizo moja nilikuja nikakosea siku moja namba yngu ya siri ya NMB MOBILE lakini baadae nikawa nimeikumbuka, nilipoingiza haikukubali tena mpaka leo nina siku nyingi. Kwa hyo naomba msaad nifanyeje jmn nisaidieni ndg!!!!!!!!!!
  3. M

    JamiiForums Tanzania UKAWA watapatapa...

    Ukawa hawawezi kuchukuwa madaraka kwa kipindi hiki maana hawajajipanga vzr wanasuasua labda kwa zaidi ya miaka km kumi.
Back
Top Bottom