Tofauti na chaguzi zilizotangulia,uchaguzi huu wa kipekee uchaguzi huu wa kipekee UKAWA wamefanikiwa kupata majimbo mengi ubunge na viti vya madiwani vya kutosha kuunda halmashauri kamili.Badala ya hawa binadamu wakipinzani kutumia muda wao kipiga kelele na kuweka migomo tasa (isiobadili...
Bila Shaka mwandishi hapa ni mtu mkubwa tu ndani ya siasa za upinzani...kama ni kweli basi nimajonzi katika taifa kupata watu wenye fikra kama zako wakawa matari wa mbele kuomgoza mapambano!!!! Kwani kamwe hatutafanikiwa ,siongezi wala sipinguzi kwa sababu za migomo ya ukawa naunga mkono hoja ya...
Umoja wa kitaifa na nani? Hao malofa kafie mbele uko,Hao na washukuru tu uyo magufuli anawachekea mi ningewala kibonga mnagomea vitu ambavo hamuwezi kubadilisha???????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.