Sio Amani, waislamu wana tabia ya kuridhika ..
Akiwa na unga ndani basi anaona maisha amemaliza...
Ni watu fulani wapuuzi puuzi hivi..
Angalizo : Wapuuzi ni watu wanaopuuzia mambo.
Ila maaskofu wana roho mbaya sana yaani mashehe wanapambana kuwaponda lakini maaskofu mmetulia kimya hata kuwajibu hamtaki...
Acheni dharau jamaa zangu ...muwe mnajibu kidogo nao wajisikie 😀😀😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.