Recent content by mwanduruka

  1. mwanduruka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Msaada,,, hapo kwenye remark niandikeje
  2. mwanduruka

    Najuta kuoa mwanamke kutoka kanda ya ziwa, aisee najuta indeed!

    Hahahaa jina refu wallah ulakoze Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mwanduruka

    Ukipewa namba na mwanamke wa JF kuwa makini sana, ukizubaa unaliwa

    Sasa hapa itakuwaje, je mwanaume akiomba namba mnamanisha asipewe? Je akiomba afu tatu ya dharura napo nisimpe? Maana mkwamo upo kwa wote mlijue hilo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mwanduruka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daah kwenye umri ni uonevu bora wangeruhus wote kugombania hizo nafas Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mwanduruka

    Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

    Mganga wa kienyeji daaah jamn mateso mbona ni mengi dunia imetuchoka au Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mwanduruka

    Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?

    Kaen mkijua kuna mapepo yenye kibur bila kulikoromea kwa sauti yenye utisho haliwez kumtoka mtu achen kulinganisha mambo!! Ndio maana sio lahis padre kumtoa mtu pepo maana litamwangalia tu bila kujishtua lilipo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mwanduruka

    Imekuaje leo joto limepotea ghafla Dar es salaam

    Kumbe huku Karatu huwez kaa kwa raha wewe!! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mwanduruka

    Nimeahidiwa Kazi sasa kanipiga block maana mwezi 11 umefika

    Watu wa dizain hyo wapo lukuki, akishajua una uhitaji wa kazi aloooh!! Atakwambia usjali kazi umepata nipe mda ondoa shaka[emoji1][emoji1][emoji1] daah hyo moment naikumbuka but kuna wengine wanatekeleza ila wengine mamlaka ya kukuwezesha kupata kazi hana
  9. mwanduruka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mmmh,,, kweli Mungu atusaidie sana
  10. mwanduruka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yaan mwenye diploma naye pia hatakiwi kuomba kazi za certificate hivi hili siyo janga kweli wakat anakuwa na vyeti vyote
  11. mwanduruka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aseey,, mbona sasa kama vile sio fair nmejisikia vibay kiukweli
  12. mwanduruka

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Amina,, naomba kusaidiw jmn mwajiri anataka sifa ya astashahada wakat mm nina shahada,, nmetaka kusubmit tu mfumo ukakataa, nisaidien nifanyeje maana napitwa na nafasi nyingi jaman,, nataka niondoe hicho chet kinacholeta shida kwenye mfumo wa ajira portal naomba msaada pliziiii
  13. mwanduruka

    Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma

    Jidanganye,,,, amin hayo yanayosemwa yapo unapinga kwa misingi ipi kwanza!
Back
Top Bottom