Recent content by mwandandila

  1. M

    CHADEMA imeitekeleza nyumba ya Alphonce Mawazo?

    Kama sio mwanasiasa umeletaje Taarifa za kisiasa?wewe umesema umefanya mahojiano na mke wa marehemu Mawazo si ndivyo? Na kwa maana hiyo wewe ni mwandishi wa habari.Lengo la mahojiano hayo ilikuwa nini? Kama ilikuwa kujua kama ahadi ulizo zitaja zimetekelezwa ama la ,umeshindwaje kufanya...
  2. M

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Na ndiyo msingi wa hoja,nami natamani ashitakiwe ili tujue Ufisadi Wake.Na nikushauri pia kuwa uje uwe mwaminifu kupitia hapa kumuomba radhi mh: Lowasa itakapothibitishwa kuwa yeye si Fisadi.Na mimi ni miongoni mwa waliokalilishwa kuwa Lowasa ni Fisadi,huku nikiwa Sina ushahidi maana hata...
  3. M

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Sijui kama kuna mtu ameona uzito wa hili neno"Biblia inasema shetani ni baba wa uongo" naami nahisi maombi yao yalijibiwa na hiyo.
Back
Top Bottom