Nimefarijika sana kuona Mada nlioianzisha ...2016 ..Leo ikipewa platform katika page kubwa ya jamii forum ..huko mjini fb wataijadili
Real recognize real [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Wakuu [emoji3577] Ni matumaini yangu wote ni wazima kabisa.
Nauza Jiko la njia nne ambazo tatu ni za gas moja ndo umeme kwa 280000 tuu fixed price.
Pia nauza Water dispenser aina ya Bruhm kwa 160000 tuu fixed price.
Vyote viko katika condition nzuri kabisa
Karibuni
0739073206
Ilikua 2017 Kipindi Hiko nasoma Chuo kimoja Kiko karibu Sana na Bar iliompa Piere konk fire umaarufu,
Siku hiyo natokea ghero....Mitaa ya mtoni kwa Aziz ally naelekea chuo kupiga discussion coz UE ilikua imekaribia ,nkiwa njiani karibia na sabasaba maonyesho nkakutana na Mtoto mmoja mdogo mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.