Ni kukuwa kwa demokrasia ila wajipange sana na sisi makamnda tupo njiani tunakuja kutoka masomoni pia nawapongeza sana watu wa Mbozi kwa kukubali mabadiliko na kuwa na imani kubwa na CHADEMA
Miswada hii ina masirahi makubwa sana kwa taifa letu kwa kizazi hiki na kizazi kijacho iweje ipelekwe bungeni kwa dharula au ina masirahi kwa wachache, pia watanzania ufike muda tuwe na uwezo wa kupaza sauti zetu ktk kutetea rasilimali zetu, nawapongeza sana wabunge wa UKAWA kwa kupinga hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.