Recent content by Mwanawapahaya

  1. M

    Kwanini jina la Apson Mwangonda?

    Mbona hatwambii wanajeshi wastafu kuwa wakuu wa mikoa na wilaya??
  2. M

    Lowasa Ajimaliza, uchu wa madaraka wampeleka CHADEMA,uamuzi wake wapondwa kila kona

    Ndo ubovu wa magezeti ya vyama hivi kwa akili ya kawaida unafikili linge andika tifauti na matakwa ya chama??
  3. M

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    Karibuni sana ili tupate Mabadiliko ya Kweli na Uhuru wa Kweli
  4. M

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    Karibuni sana ili tupate Mabadiliko ya Kweli na Uhuru wa Kweli
  5. M

    Habari & Picha; Sugu na Elimu Mbeya Mjini - Part 1 & 2

    Hongera sana kamanda kwa kuonesha uzalendo wa hali ya juu unafaa kuigwa
  6. M

    Spika wa Bunge kutengua adhabu ili wabunge wahudhurie Hotuba ya Rais

    Hawatarudi mana walichokua wanakipigania hakipo tena.
  7. M

    Mnyika unaleta vurugu Bungeni wakati Ubungo Makoka barabara imechakachuliwa

    Uzalendo ndo unao mtesa sana John Mnyika kwa wazalendo wote na wenye uchungu na rasilimali za taifa letu watakubaliana na anachokifanya Mnyika
  8. M

    ACT-Wazalendo Mbozi mwendo wao ni zaidi ya MCHAKAMCHAKA

    Ni kukuwa kwa demokrasia ila wajipange sana na sisi makamnda tupo njiani tunakuja kutoka masomoni pia nawapongeza sana watu wa Mbozi kwa kukubali mabadiliko na kuwa na imani kubwa na CHADEMA
  9. M

    Wabunge wa UKAWA wagomea Miswada ya Petroli na Gesi, Bunge laahirishwa ghafla

    Miswada hii ina masirahi makubwa sana kwa taifa letu kwa kizazi hiki na kizazi kijacho iweje ipelekwe bungeni kwa dharula au ina masirahi kwa wachache, pia watanzania ufike muda tuwe na uwezo wa kupaza sauti zetu ktk kutetea rasilimali zetu, nawapongeza sana wabunge wa UKAWA kwa kupinga hii...
  10. M

    Maandamano makubwa kuanzia Jumatatu na kuhitimisha ofisini kwa mkuu wa Wilaya ya Rombo!

    Nawapongeza sana wanarombo kwa kupinga hilo kwa 100%
  11. M

    CHADEMA wavunjavunja ngome ya CCM Namtumbo, Ruvuma

    Hongereni sana makamanda mpaka kieleweke october
Back
Top Bottom