Kuna changamoto kubwa sana ya watu kutofautisha kati ya International schools na English medium! Wengi wanasomesha watoto wao English medium wanahisi wapo International schools
Hiv nyie watu mna matatizo gani na wachaga? Hizo chuki zinatokea wapi? Hapo taarifa ni za Wameru lakini wachangia kama wachaga wanatoana roho!! Acheni chuki za kijinga!!
Dawa ya wezi/ majambazi ni risasi za kichwa!! Siyo watu wa kuonea huruma hata kidogo ukicheka nao wataendela kuumiza watu wengi sana!!
Wengi wenye hizo tabia wakipigwa za kichwa hata wanaoshirikiana nao au wenye hizo tabia au wanaotaka kufanya huo ujinga wataacha!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.