SIyo CHADEMA Watanzania wanataka KATIBA MPYA. Watanzania wanataka katiba itakatakayo watetea wananchi. KATIBA YETU ni ile ya Ukoloni, tulishapsta uhuru tunahitaji katiba itakayoendana na wakati tuliopo.
Kwani CCM si ni chama kubwa na kina wafuasi wengi na kinapendwa sana. Sielewi kwanini...
Kawaulize kwanini hawa wanaotengeneza policy za kutumia Kiswahili kwenye Elimu ya watoto wetu, WATOTO WAO WANASOMA PUBLIC SCHOOLS, NA KWANINI HAWASOMI PUBLIC SCHOOLS wanasoma International Schools na shule zinazofundisha masomo kwa lugha ya Wakoloni? Ukishafanya uchunguzi wako binafsi ndo utajua...
Ni kweli maji hayana ladha kabisa ya zamani, yamechakachukiwa. Walaji wanapotoa maoni yao ni kuwapa alert mapungufu yao.
Kama ni wafanyabiashara kweli watachulia hii feedback positive na kubadilika badala ya kuwaza kwamba brand inaharibiwa.
Mwisho wa siku unakuta soko lako limeporomoka na...
Goodride ilikuwa zamani sasa hv wamezichakachua sana hazifai tena. Watumiaji wengi tumeshaziacha. Na wengi sana wanazikimbia sasa hivi, labda wazalishaji wabadilike, tofauti na hapo watapotea sokoni
Hamna kitu kama hicho. Ndo kasogezwa karibu na kiti cha Urais. Kuwa Waziri Mkuu haimanishi kwamba huwezi kugombea Urais. Katiba ya nchi haijamzuia.
Najiuliza Doto Biteko alichemka wapi?
Ila tu sioni CCM ikitoboa 2030
Watu wakiwa madarakani wanalinda ugali wao! Wakishanyanganywa tonge ndo wanakumbuka kumbe ningeweze kutengeneza misingi ya haki kila mtu akapata na yeye tonge lake kwa usawa bila kuumizana!
Tengenezeni misingi ya haki Mungu anapowapatieni nafasi ya kufanya hivyo!
Wakiwa kwenye madaraka na mifumo ya ulaji wanasahau kabisa kuwa yana mwisho wake!! Mlioko kwenye madaraka tengenezeni mifumo ya haki kwa kila moha kwa vizazi vyote kwa watu wote. Yanaweza yasikufike wewe na watoto wako ila wajukuu na vitukuu vyako vikaja kuteseka bado. Tendeni haki kwa kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.