Kilimo cha matikiti maji kinalipa sana. Heka moja inaweza kutoa jumla ya matiki 50,000,. Kwa wastani tikiti linauzwa tsh 2000 bei ya chini kabisa,
50000 x2000 = 100,000,000
Imagine unalima heka 10 tu, unakuwa na mgodi wa dhahabu, hata katoro hawaoni ndani. Ni watu tu wavivu.
Migodi ipo...
SIyo CHADEMA Watanzania wanataka KATIBA MPYA. Watanzania wanataka katiba itakatakayo watetea wananchi. KATIBA YETU ni ile ya Ukoloni, tulishapsta uhuru tunahitaji katiba itakayoendana na wakati tuliopo.
Kwani CCM si ni chama kubwa na kina wafuasi wengi na kinapendwa sana. Sielewi kwanini...
Kawaulize kwanini hawa wanaotengeneza policy za kutumia Kiswahili kwenye Elimu ya watoto wetu, WATOTO WAO WANASOMA PUBLIC SCHOOLS, NA KWANINI HAWASOMI PUBLIC SCHOOLS wanasoma International Schools na shule zinazofundisha masomo kwa lugha ya Wakoloni? Ukishafanya uchunguzi wako binafsi ndo utajua...
Ni kweli maji hayana ladha kabisa ya zamani, yamechakachukiwa. Walaji wanapotoa maoni yao ni kuwapa alert mapungufu yao.
Kama ni wafanyabiashara kweli watachulia hii feedback positive na kubadilika badala ya kuwaza kwamba brand inaharibiwa.
Mwisho wa siku unakuta soko lako limeporomoka na...
Goodride ilikuwa zamani sasa hv wamezichakachua sana hazifai tena. Watumiaji wengi tumeshaziacha. Na wengi sana wanazikimbia sasa hivi, labda wazalishaji wabadilike, tofauti na hapo watapotea sokoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.