Goodride ilikuwa zamani sasa hv wamezichakachua sana hazifai tena. Watumiaji wengi tumeshaziacha. Na wengi sana wanazikimbia sasa hivi, labda wazalishaji wabadilike, tofauti na hapo watapotea sokoni
Hamna kitu kama hicho. Ndo kasogezwa karibu na kiti cha Urais. Kuwa Waziri Mkuu haimanishi kwamba huwezi kugombea Urais. Katiba ya nchi haijamzuia.
Najiuliza Doto Biteko alichemka wapi?
Ila tu sioni CCM ikitoboa 2030
Watu wakiwa madarakani wanalinda ugali wao! Wakishanyanganywa tonge ndo wanakumbuka kumbe ningeweze kutengeneza misingi ya haki kila mtu akapata na yeye tonge lake kwa usawa bila kuumizana!
Tengenezeni misingi ya haki Mungu anapowapatieni nafasi ya kufanya hivyo!
Wakiwa kwenye madaraka na mifumo ya ulaji wanasahau kabisa kuwa yana mwisho wake!! Mlioko kwenye madaraka tengenezeni mifumo ya haki kwa kila moha kwa vizazi vyote kwa watu wote. Yanaweza yasikufike wewe na watoto wako ila wajukuu na vitukuu vyako vikaja kuteseka bado. Tendeni haki kwa kuweka...
NImekaa Arusha mda mrefu watu wa Arusha siyo wabaguzi na wakabila. Wabunge wengi tu wamepita hapa ambao siyo wenyeji wa mkoa huu!!
Arusha ni jiji lenye watu wengi wenye mchanganyiko wa makabila mengi!! Nina amini hata hii thread ni mnyukano tu wa wagombea mahasimu wawili ndani ya CCM...
Sibishani na mnuka k.um.a. kama wewe. Hebu jipige dole la kati usikie harufu chafu inayotoka kama samaki aliyeooza, ptuuuu, kajifunze kuoga kwanza takataka!!
Ndo mjifunze kuwa Wachaga siyo wakabila kama hao unaowataja!! Kujipambanua kwamba mtu asiye wakabila fulani hawezi kuwa mbunge sehemu fulani ni kuonyesha hiyo sehemu ilivyojaa ukabila.
Na watu wanaoendekeza ukabila, na udini ni watu wenye low IQ.
Tanzania ni yetu wote. Wote ni watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.