Recent content by mwanawao

  1. mwanawao

    Goodride: Je, ni tairi bora kwa barabara zetu au tunadanganywa na bei yake nafuu?

    Goodride ilikuwa zamani sasa hv wamezichakachua sana hazifai tena. Watumiaji wengi tumeshaziacha. Na wengi sana wanazikimbia sasa hivi, labda wazalishaji wabadilike, tofauti na hapo watapotea sokoni
  2. mwanawao

    Kipo wapi...? Kudadadeki kuna Mtu anataka Kufa au Kuzika? Tumeshashika Adabu wenyewe!

    Kwani mkuu nini kinakufurahisha sana? Watu kutekwa, na kuuliwa, watu wanapotoka na kupigania haki zao za msingi na kuuliwa?
  3. mwanawao

    Landing Rights for satellite launching in Tanzania

    Hii ndo ile iliyojaza kamasi kwenye ubongo, hata kutumia akili kisoda hawezi. Mbuzi kama mbuzi!
  4. mwanawao

    PostGE2025 Ndoto za Mwigulu Nchemba kuwa Rais wa JMT zimezimwa rasmi leo kama ilivyotarajiwa

    Hamna kitu kama hicho. Ndo kasogezwa karibu na kiti cha Urais. Kuwa Waziri Mkuu haimanishi kwamba huwezi kugombea Urais. Katiba ya nchi haijamzuia. Najiuliza Doto Biteko alichemka wapi? Ila tu sioni CCM ikitoboa 2030
  5. mwanawao

    Polepole: wahuni wamevamia chama na wanataka kujimilikisha nchi mwaka 1995 walishindwa 2005 wakajaribu na 2015 walijaribu mkapa akazuia:

    Watu wakiwa madarakani wanalinda ugali wao! Wakishanyanganywa tonge ndo wanakumbuka kumbe ningeweze kutengeneza misingi ya haki kila mtu akapata na yeye tonge lake kwa usawa bila kuumizana! Tengenezeni misingi ya haki Mungu anapowapatieni nafasi ya kufanya hivyo!
  6. mwanawao

    GE2025 Humphrey Polepole: Kuna majaribio ya kutaka kucheza na Haki yangu, watu wabaya wananitafuta

    Wakiwa kwenye madaraka na mifumo ya ulaji wanasahau kabisa kuwa yana mwisho wake!! Mlioko kwenye madaraka tengenezeni mifumo ya haki kwa kila moha kwa vizazi vyote kwa watu wote. Yanaweza yasikufike wewe na watoto wako ila wajukuu na vitukuu vyako vikaja kuteseka bado. Tendeni haki kwa kuweka...
  7. mwanawao

    Kama una akili timamu zingatia hili litakusaidia sana

    Maisha hayana formula kwako ikiwa sawa kwa mwingine sivyo. Vipaumbele pia vinatofautina sana
  8. mwanawao

    2015 Baada ya Wapinzani kugomea Uzinduzi wa Bunge kupinga Maalim Seif kunyang'anywa Ushindi na kutoka nje, Zitto Kabwe alisalia Bungeni

    Hili ni tatizo kubwa sana. Sijui wanaokuwa naye hawaelewi tabia zake. Upinzani wa kweli kwa sasa upo CHADEMA tu!!
  9. mwanawao

    GE2025 Wenyeji wa Mikoa ya Kaskazini Wana Haki ya Kuongoza Majimbo Yao

    NImekaa Arusha mda mrefu watu wa Arusha siyo wabaguzi na wakabila. Wabunge wengi tu wamepita hapa ambao siyo wenyeji wa mkoa huu!! Arusha ni jiji lenye watu wengi wenye mchanganyiko wa makabila mengi!! Nina amini hata hii thread ni mnyukano tu wa wagombea mahasimu wawili ndani ya CCM...
  10. mwanawao

    GE2025 Wenyeji wa Mikoa ya Kaskazini Wana Haki ya Kuongoza Majimbo Yao

    Watu wanaowaza ukabila kila wakati IQ yao ni ndogo sana!!
  11. mwanawao

    Kasikazini panapwaya mno, wachaga zaeni hii ni aibu waliooa kwenu waja kuwa wabunge wenu, Kikeke ni mzanzibari Moshi VIJIJINI afata Nini?

    Sibishani na mnuka k.um.a. kama wewe. Hebu jipige dole la kati usikie harufu chafu inayotoka kama samaki aliyeooza, ptuuuu, kajifunze kuoga kwanza takataka!!
  12. mwanawao

    Kasikazini panapwaya mno, wachaga zaeni hii ni aibu waliooa kwenu waja kuwa wabunge wenu, Kikeke ni mzanzibari Moshi VIJIJINI afata Nini?

    Watu wapuuzi sana, kutwa kuchwa mabadiliko na mabadiliko yenyewe hawayawezi?
  13. mwanawao

    Kasikazini panapwaya mno, wachaga zaeni hii ni aibu waliooa kwenu waja kuwa wabunge wenu, Kikeke ni mzanzibari Moshi VIJIJINI afata Nini?

    Mpumbavu ni mama yako!! Huna akili kabisa!! Kuendekeza ukabila ndiyo akili!! Huna tofauti na nguruwe!!
  14. mwanawao

    Kasikazini panapwaya mno, wachaga zaeni hii ni aibu waliooa kwenu waja kuwa wabunge wenu, Kikeke ni mzanzibari Moshi VIJIJINI afata Nini?

    Ndo mjifunze kuwa Wachaga siyo wakabila kama hao unaowataja!! Kujipambanua kwamba mtu asiye wakabila fulani hawezi kuwa mbunge sehemu fulani ni kuonyesha hiyo sehemu ilivyojaa ukabila. Na watu wanaoendekeza ukabila, na udini ni watu wenye low IQ. Tanzania ni yetu wote. Wote ni watanzania...
Back
Top Bottom