Recent content by mwanawao

  1. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Nini kinafanya Uislamu kuzidi kuwa na ushwawishi na kushamiri Tanganyika?

    Waseme pia na wavaa vipedo na wavaa ushungi wanaogeuka na kuwa Wagalatia ni wangapi? Ni wengi kama mchanga wa bahari..
  2. mwanawao

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapigania katiba mpya kwa lengo moja tu. Wanadhani katiba mpya ndiyo itawapa nafasi ya kushika Dola

    SIyo CHADEMA Watanzania wanataka KATIBA MPYA. Watanzania wanataka katiba itakatakayo watetea wananchi. KATIBA YETU ni ile ya Ukoloni, tulishapsta uhuru tunahitaji katiba itakayoendana na wakati tuliopo. Kwani CCM si ni chama kubwa na kina wafuasi wengi na kinapendwa sana. Sielewi kwanini...
  3. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto kukwepa kuhutubia kwa Kiswahili bunge la Tanzania, inatukumbusha kama nchi kuacha kukumbatia KISWAHILI

    Hawa hawawezi kujua kabisa! Kusikia kwa chura hadi damu zimtoke masikioni,
  4. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto kukwepa kuhutubia kwa Kiswahili bunge la Tanzania, inatukumbusha kama nchi kuacha kukumbatia KISWAHILI

    Kawaulize kwanini hawa wanaotengeneza policy za kutumia Kiswahili kwenye Elimu ya watoto wetu, WATOTO WAO WANASOMA PUBLIC SCHOOLS, NA KWANINI HAWASOMI PUBLIC SCHOOLS wanasoma International Schools na shule zinazofundisha masomo kwa lugha ya Wakoloni? Ukishafanya uchunguzi wako binafsi ndo utajua...
  5. mwanawao

    JamiiForums Tanzania KERO Maji ya Kilimanjaro hayana ladha tuliyoizoea, wajitafakari

    Ni kweli maji hayana ladha kabisa ya zamani, yamechakachukiwa. Walaji wanapotoa maoni yao ni kuwapa alert mapungufu yao. Kama ni wafanyabiashara kweli watachulia hii feedback positive na kubadilika badala ya kuwaza kwamba brand inaharibiwa. Mwisho wa siku unakuta soko lako limeporomoka na...
  6. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Ulikuwepo, kwani ulikuwepo, ubishi tu hahaaa🤣🤣🤣
  7. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Wasira: CCM Haibebwi, inafanikiwa kwa ukubwa wake na Imani ya Wananchi

    Sasa wanaogopa nini kuwa na TUME HURU YA UCHAGUZI? Wanaogopa nn kuleta katiba mpya?
  8. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Goodride: Je, ni tairi bora kwa barabara zetu au tunadanganywa na bei yake nafuu?

    Goodride ilikuwa zamani sasa hv wamezichakachua sana hazifai tena. Watumiaji wengi tumeshaziacha. Na wengi sana wanazikimbia sasa hivi, labda wazalishaji wabadilike, tofauti na hapo watapotea sokoni
  9. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Kenya wanajitahidi kutumia udhaifu na mabaya ya nchi yetu kuzamisha maeneo tunayoonyesha kuwazidi kama upande wa Sanaa na burudani

    Kila mtu ale alipopeleka mboga! Wasanii wa Tanzania ni wapumbavu!
  10. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Kipo wapi...? Kudadadeki kuna Mtu anataka Kufa au Kuzika? Tumeshashika Adabu wenyewe!

    Kwani mkuu nini kinakufurahisha sana? Watu kutekwa, na kuuliwa, watu wanapotoka na kupigania haki zao za msingi na kuuliwa?
  11. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Landing Rights for satellite launching in Tanzania

    Hii ndo ile iliyojaza kamasi kwenye ubongo, hata kutumia akili kisoda hawezi. Mbuzi kama mbuzi!
  12. mwanawao

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ndoto za Mwigulu Nchemba kuwa Rais wa JMT zimezimwa rasmi leo kama ilivyotarajiwa

    Hamna kitu kama hicho. Ndo kasogezwa karibu na kiti cha Urais. Kuwa Waziri Mkuu haimanishi kwamba huwezi kugombea Urais. Katiba ya nchi haijamzuia. Najiuliza Doto Biteko alichemka wapi? Ila tu sioni CCM ikitoboa 2030
  13. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Polepole: wahuni wamevamia chama na wanataka kujimilikisha nchi mwaka 1995 walishindwa 2005 wakajaribu na 2015 walijaribu mkapa akazuia:

    Watu wakiwa madarakani wanalinda ugali wao! Wakishanyanganywa tonge ndo wanakumbuka kumbe ningeweze kutengeneza misingi ya haki kila mtu akapata na yeye tonge lake kwa usawa bila kuumizana! Tengenezeni misingi ya haki Mungu anapowapatieni nafasi ya kufanya hivyo!
  14. mwanawao

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole: Kuna majaribio ya kutaka kucheza na Haki yangu, watu wabaya wananitafuta

    Wakiwa kwenye madaraka na mifumo ya ulaji wanasahau kabisa kuwa yana mwisho wake!! Mlioko kwenye madaraka tengenezeni mifumo ya haki kwa kila moha kwa vizazi vyote kwa watu wote. Yanaweza yasikufike wewe na watoto wako ila wajukuu na vitukuu vyako vikaja kuteseka bado. Tendeni haki kwa kuweka...
  15. mwanawao

    JamiiForums Tanzania Kama una akili timamu zingatia hili litakusaidia sana

    Maisha hayana formula kwako ikiwa sawa kwa mwingine sivyo. Vipaumbele pia vinatofautina sana
Back
Top Bottom