Recent content by Mwanawakati

  1. M

    Sauti ya wengi, ni Sauti ya Mungu

    Miezi kadhaa iliyo pita, kulikuwepo minong'ono na mijadala mingi mitaani na mitandaoni ilio kua ikikosoa/ ikishauri na kushinikiza nembo ya mwenge iliowekwa daraja la Tanzanite iondolewe na kuwekwe alama ya Dini la Tanzanite!. Mheshimiwa Rais wetu, Mama Samia Suluhu Hassan alipozindua daraja...
  2. M

    Katambi imara zaidi ya kingo za mnara

    Mwenyekiti wa Balaza la Vijana la CHADEMA Taifa, Mhe: Paschal Patrobas ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Ukawa kupitia tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Jimbo la Shinyanga, jana majira ya saa 2:45 asubuhi maeneo ya Ibinzamata, akielekea stendi, amevamiwa na watu wasiojulikana na...
  3. M

    CV ya Patrobas mrithi wa John Heche BAVICHA

    IVI MNAONIOMBA CV ya Mheshimiwa Mwenyekiti, ! MNATAKA MUMPE KAZI? Sawa maafisa rasilimali watu ACT na CCM! nimewaelewa... Nawasamehe bure maana mmevurugwa tu na mfumo wa Elimu ya Kikoloni! CV ya mwanasiasa INAJENGWA NA HISTORIA YAKE, Juhudi na harakati ndani na nje ya Chama, katu haziandikwi...
  4. M

    CV ya Patrobas mrithi wa John Heche BAVICHA

    CV YA MHESHIMIWA MWENYEKITI BAVICHA TAIFA 2014 NI HII Makamanda habari za wakati huu.. Nimesikitishwa sana na baadhi ya watu ambao wamekua wakielezea ndivyo sivyo CV ya Mheshimiwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) Kulopoka ni uvivu wa...
  5. M

    CV ya Patrobas mrithi wa John Heche BAVICHA

    Makamanda habari za wakati huu.. Nimesikitishwa sana na baadhi ya watu ambao wamekua wakielezea ndivyo sivyo CV ya Mheshimiwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) Kulopoka ni uvivu wa kufikiri, tuache kuelezea mambo bila kuwa na ufahamu ama...
  6. M

    Patrobass mrithi wa John Heche BAVICHA

    Patrobass "Simba wa Vita".
  7. M

    Tumchague Paschal Patrobass kuwa Mwenyekiti BAVICHA Taifa

    Yaliyomo yamo kiongozi. Spade ni Spade tu!
  8. M

    Shushushu wa CCM kugombea uenyekiti wa BAVICHA taifa

    Mtoa mada akili yako inakoroma.. naona maisha yako ni fofofo haujitambui! Unachokiongea si msamiati, tupe ushahidi tukuamini beyond reasonable doubts!
  9. M

    Tumchague Paschal Patrobass kuwa Mwenyekiti BAVICHA Taifa

    Wana jamvi, habari za wakati huu.. Wakati joto la uchaguzi mdogo likizidi kupanda miongoni mwa wagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa Baraza la Vijana la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Mijadala ya watu mbalimbali ndani na nje ya chama na maoni ya walio wengi wanaamini Paschal...
Back
Top Bottom