Patrobass mrithi wa John Heche BAVICHA

Patrobass mrithi wa John Heche BAVICHA

RICHRYAN

Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
17
Reaction score
3
47.jpg

tumeanza na mungu
tumeshinda na mungu
tutaongoza na mungu
tutahitimisha na mungu
the best are yet to come
 
View attachment 184531

tumeanza na mungu
tumeshinda na mungu
tutaongoza na mungu
tutahitimisha na mungu
the best are yet to come
kwa heshima na taadhima nimpongeze mwenyekiti mpya wa BAVICHA PAMOJA NA VIONGOZI WOTE WAPYA WALIOCHAGULIWA KULIONGOZA BARAZA. SASA TUMEPAATA SAFU YA KUONGOZA MAPAMBANO KUIPIGANIA NCHI NA WATU WAKE DHIDI YA WATAWALA WALIOSHINDWA KULETA MATUMAINI YANATEGEMEWA NA WANANCHI.

nb; maadui na mifumo ya magharibi ndio tatizo zaidi kwa maendeleo ya nchi, sijutii msimamo mkali dhidiya mifumo ya magharibi na nitaendelea kupambana na ipo siku vijana wenzangu na taifa watakuja kunielewa.

PEOPLES
 
kwa heshima na taadhima nimpongeze mwenyekiti mpya wa BAVICHA PAMOJA NA VIONGOZI WOTE WAPYA WALIOCHAGULIWA KULIONGOZA BARAZA. SASA TUMEPAATA SAFU YA KUONGOZA MAPAMBANO KUIPIGANIA NCHI NA WATU WAKE DHIDI YA WATAWALA WALIOSHINDWA KULETA MATUMAINI YANATEGEMEWA NA WANANCHI.

nb; maadui na mifumo ya magharibi ndio tatizo zaidi kwa maendeleo ya nchi, sijutii msimamo mkali dhidiya mifumo ya magharibi na nitaendelea kupambana na ipo siku vijana wenzangu na taifa watakuja kunielewa.

PEOPLES



Mkuu hakika umekomaa kisiasa,Mungu akutangulie katika mapambano
 
I have no problem with reporting but if you have decided to report something which is right and make sense. Niliposoma hivyo nikagundua kuwa most of us will die poor and fool. In AI (Artificial Intelligence) and Philosophy, there is this concept "IF YOU CAN NOT PROVE SOMETHING, IT DOES NOT MEAN THAT IT IS FALSE", it is just you did not be able to prove it. It can be true or false. Thanks for the government that keeps his people fool, stupid and broke.
Sometimes I just keep myself out of forum just because I don't like soft politics. I just have to say this f them. Now tell me who is going to stand up and talk about IPTL! Hakuna mtu mmoja ambaye anaweza akasimamisha "balz" na ku-prove kwamba shutuma zinazotolewa ni za kweli. f them. You guys mmeandika sana shutuma zidi ya BWM lakini hakuna mtu hata mmoja anayeweza kusimamisha kende zake bungeni na kuongelea hili jambo tena. Hakuna mtu mwenye ushahidi au ambaye anaweza ku-prove kuwa hizo habari/shutuma ni za kweli. BWM ameondoka amewaachia kila kitu mikononi mwenu kama hamuwataki watu wa madini si mnaweza kuwafukuza kwa siku moja? Hao IPTL mnawalipa kwa nini? Kwani tusipowalia itakuwaje? We are not getting service anyway! Tatizo tunaijenga nchi kuwa malaya wa kuomba omba mkifanya hivyo mtakosa hizo hela.


Ujasiri wa kumponda kamanda Patrobasi wanautoa wapi?mtu amekitumikia chama kwa moyo wote,go..go kamanda PP
 
Back
Top Bottom