Recent content by Mwanaukweli

  1. Mwanaukweli

    Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Mmoja aliyemtembelea Father Dr.Charles Kitima anashuhudia kuwa "Hakika lilikuwa shambulio baya lenye lengo la kudhulumu maisha yake" Mungu ni mwema sana anaendelea vizuri. Huu ni Ujumbe wake kwetu "....Lazima Tuwe Imara kusimamia masuala ya Msingi katika Taifa. "Hatutakiwi kuogopa kulipa...
  2. Mwanaukweli

    Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Kwa hiyo unamaanisha ameshambuliwa na wanasiasa wasiompenda? Hivi kushambulia mtu ndio jibu la hoja ambazo mwanasiasa hakubaliani nazo? Tofauti kati ya siasa za hivyo na uhalifu zi wapi? Huo ni uhalifu, sio siasa. Mnatuharibia nchi!
  3. Mwanaukweli

    Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Yeye anakaa makao makuu ya Baraza la Maaskofu Kurasini. Anapokaa ndipo kwake. Na wanaokaa Jimboni hapo ndipo kwao!
  4. Mwanaukweli

    CCM yapigwa Stop ujenzi ardhi yenye mgogoro na Kanisa Katoliki

    Kanisani kuna waraka unasomwa ukiwajulisha waamini kudhulumiwa huku na CCM
  5. Mwanaukweli

    Freeman Mbowe Mgeni rasmi siku ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na BAWACHA

    IQ ndogo kweli halafu ndiye mpiga debe wa chama chake.
  6. Mwanaukweli

    Freeman Mbowe Mgeni rasmi siku ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na BAWACHA

    Kwa ushahidi wa Urio? Kwa ushahidi wa Kingai? Kwa ushahidi wa Jumanne? Kwa ushahidi wa Tumaini Swila? Kwa ushahidi wa mchongo? Kwa ushahidi upi tuliosikia Mpaka Jamhuri ikatangaza kukamilisha ushahidi? Acheni siasa kwenye sheria, hakukuwa na Kesi, na wabambikiaji hawakuwa makini kabisa...
  7. Mwanaukweli

    Mbowe anapaswa awaombe radhi Watanzania

    Ujinga wako baki nao
  8. Mwanaukweli

    Mbowe anapaswa awaombe radhi Watanzania

    Eti Kingai na Askari wake ndio wanakuta watu na hatia!!! Is this a Police state?
  9. Mwanaukweli

    Mbowe anapaswa awaombe radhi Watanzania

    Kwa ushahidi wa Urio?
Back
Top Bottom