kama walikataa kuwa watz hatuli mapanki na minofu kwenda ulaya,la umeme watakubali ? sikio la kufa halisikii dawa siku zao zinahesabika kamanda. leo tunaandamana KISHAPU wakiyazuia tunaandamana KIROHO si hayana kikomo.
kama walikataa kuwa watz hatuli mapanki na minofu kwenda ulaya,la umeme watakubali ? sikio la kufa halisikii dawa siku zao zinahesabika kamanda. leo tunaandamana KISHAPU wakiyazuia tunaandamana KIROHO si hayana kikomo.
Ndg yangu Maboso ni vyema ukaelewa vizuri anachomaanisha Nyerere tatizo lako hujalejea historia ya muungano kama wazenji hawataki hata hiyo serikari mbili, unafikiri wewe hiyo mmoja inawezekanaje ? tatizo kila kitu mnataka kushabikia nenda Chalinze kama unataka ushabiki hili nijukwaa toa hoja...
TATIZO lenu ubabaishaji umedhidi eti ofisini anzisheni chama chenu cha watu wa ofisini wachumia tumbo wakubwa hakuna mnachofiri zaidi kufkiria dili kwenye ofisi za watu kama rafiki yenu ZANA ZA KILMO(ZZK)
Hata huko kijijini kwao hakuna kituo cha afya, hakuna madawati wanafunzi darasani wanakaa chini na leo kwasababu umeshiba umewasahau hata wazazi na ndg zako waonapigika huko kijijini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.