Recent content by mwananzenga

  1. mwananzenga

    Je, ni mambo gani ya kuzingatia wakati wa kuoa ?

    Kwanza umejiridhisha na Upendo wa huyo mchumba, na pili awe mcha Mungu na cha mwisho uwe na pesa au mahitaji muhimu ya kujikimu kama familia kabla hujaenda kuomba msaada nje.
  2. mwananzenga

    PostGE2025 Ommy Dimpoz: Walioona tumewadhihaki nawaomba msamaha

    Kila Mtu afanye Kazi yake msamaha wa Nini Tena wakati aliongea Kwa dharau na marafiki zake
Back
Top Bottom