Mimi hizi porojo za Zitto hazina maana kwangu, siku zote mazuri hujitenga, na watu kuyashuhudia sio kumwaga misifa mingi kama robot.Ningekuona wa maana kama ungetoa thatmini ya mafanikio jimboni mwake k.v. mashule, hosipitali, maji, barabara.Wanaotakiwa kuhusishwa na mafanikio directly ni watu...