Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu ebu nisaidieni kuna umuhimu wowote kumwandalia chakule mumeo wakati housegirl/houseboy yupo na analipwa kwa ajili ya kuhakikisha kila kitu kuanzia usafi hadi chakula kinaenda vizuri?
Wakuu ebu nisaidieni kuna umuhimu wowote kumwandalia chakule mumeo wakati housegirl/houseboy yupo na analipwa kwa ajili ya kuhakikisha kila kitu kuanzia usafi hadi chakula kinaenda vizuri?
Yes ni muhimu kwa mke kufanya hivyo kwa mumewe labda mke awe amesafiri, anaumwa, hayupo na labda siku fulani kachoka na kumuomba housegirl amsaidie.
Anaweza pia akakusaidia usafi huyo mfanyakazi ila siyo chumbani mnapolala wanandoa, humo ni wewe tu kuwajibika.
Hayo ni kati ya majukumu ya mwanamke kwenye mji wake.
Kumuandalia mume chakula ni kazi ya mke,kufanya usafi wa nguo za mume ni kazi ya mke,kupanga chumba na kutandika kitanda,kumpelekea maji ya kuoga bafuni ni kazi yake pia.ukitaka kusaidiwa vyote hivyo bila sababu ya msingi unamtengenezea huyo msaidizi mazingira ya kukurithi.kaa chonyo wanawake wengine wameharibu ndoa zao kwa uzembe wakarithiwa.wewe usiwe moja wao.
Swadaktaaaaaaa!
1.Na kazi ya mume ni ipi?
2.Je wanaokaa majuu huko mnafanyaje maana kila mtu anaenda kwenye mihangaiko kwa faida ya familia na hakuna cha hausigeli kwa walio wengi.
3.Je mke akisafiri, ina maana mume hali, haogi, hatandiki kitanda, wala hafanyi usafi chumbani hadi mke arudi?
Kumuandalia mume chakula ni kazi ya mke,kufanya usafi wa nguo za mume ni kazi ya mke,kupanga chumba na kutandika kitanda,kumpelekea maji ya kuoga bafuni ni kazi yake pia.ukitaka kusaidiwa vyote hivyo bila sababu ya msingi unamtengenezea huyo msaidizi mazingira ya kukurithi.kaa chonyo wanawake wengine wameharibu ndoa zao kwa uzembe wakarithiwa.wewe usiwe moja wao.
Kumuandalia mume chakula ni kazi ya mke,kufanya usafi wa nguo za mume ni kazi ya mke,kupanga chumba na kutandika kitanda,kumpelekea maji ya kuoga bafuni ni kazi yake pia.
Nimekupata.WoS, nadhani maelezo yake hili yako hapo kwen nyekundu
Nimekupata.
Naomba unijibu maswali yangu hasa la kwanza....hapo nitaelewa na nitachangia zaidi
NDIYO.Je kuna umuhimu wowote kumuandalia Chakula,chai mumeo wakati housegirl yupo??
Hapa housegirl ndio anawajibika kuwaandalia wote wawili.2.Je wanaokaa majuu huko mnafanyaje maana kila mtu anaenda kwenye mihangaiko kwa faida ya familia na hakuna cha hausigeli kwa walio wengi.
Hapa housegirl ndio atamuandalia huyo mwanaume, kuhusu studio (Chumbani) yote mawili yawezekana yaani mume mwenyewe atandike kitanda au hata huyo housegirl.3.Je mke akisafiri, ina maana mume hali, haogi, hatandiki kitanda, wala hafanyi usafi chumbani hadi mke arudi?
Nimekupata.
Naomba unijibu maswali yangu hasa la kwanza....hapo nitaelewa na nitachangia zaidi
asante nduguHahaha, hapo nilimsaidia tu kwenye hilo cause it was a bit obvious, hayo mengine sijui mtizamo wake utakuwaje mwenye aliyepost lol!
Ninachopingana nacho ni mazoea ya mume kuhudumiwa na h/ girl.mazingira kama hayo, huyo mdada kuwa karibu na mumeo,mara asante dada kwa chakula kizuri, wewe umelala tu,huo ni mfano.mimi mwenyewe namsaidia sana mke wangu.na akisafiri nadeki mwenyewe chumba changu,hiyo ndiyo heshima ya ndoa.mimi sitaki kukutana na mke wangu kitandani tu,upendo nikutumikiana hivo ndivo vionyo vinavyoleta ladha ktk ndoa.
Mazoea haya yakizidi housegirl anakuwa mke msaidizi.Ninachopingana nacho ni mazoea ya mume kuhudumiwa na h/ girl.mazingira kama hayo, huyo mdada kuwa karibu na mumeo,mara asante dada kwa chakula kizuri, wewe umelala tu,huo ni mfano.mimi mwenyewe namsaidia sana mke wangu.na akisafiri nadeki mwenyewe chumba changu,hiyo ndiyo heshima ya ndoa.mimi sitaki kukutana na mke wangu kitandani tu,upendo nikutumikiana hivo ndivo vionyo vinavyoleta ladha ktk ndoa.
Je nakinyume chake yaani mume haruhusiwi au hatakiwi kuyafanya hayo!?Kumuandalia mume chakula ni kazi ya mke,kufanya usafi wa nguo za mume ni kazi ya mke,kupanga chumba na kutandika kitanda,kumpelekea maji ya kuoga bafuni ni kazi yake pia.ukitaka kusaidiwa vyote hivyo bila sababu ya msingi unamtengenezea huyo msaidizi mazingira ya kukurithi.kaa chonyo wanawake wengine wameharibu ndoa zao kwa uzembe wakarithiwa.wewe usiwe moja wao.
Wakuu ebu nisaidieni kuna umuhimu wowote kumwandalia chakule mumeo wakati housegirl/houseboy yupo na analipwa kwa ajili ya kuhakikisha kila kitu kuanzia usafi hadi chakula kinaenda vizuri?