Ni masikitiko makubwa sana vijana wanapambana kupata gpa ila kuna wahuni wachache wanaamua wa kumuajiri wamtakaye, kwanza Mkuu wa Idara mmoja aliwakusanya hao watano Kwa nafasi Tano, wakapewa maswali na majibu ya oral, na wakafanya presentation za slides akawarekebisha kisha wakaingia interview...
Aibu ya Ndege ya precision itabaki milele na kama rejea kwenye airline industry, kwenye ajali za water bodies. Ubalozi wa Marekani umehudhunika sana na Ujima wa nchi hii na kuamua dhahiri kuwapongoza wavuvi na watu wa kawaida kbsa
Kamanda alikataa kujiunga na Illuminati na freemasons family. Mapema tu wajanja walijua matamshi ya ku sacrifice yalitoa jibu la moja Kwa moja. Walijua ntakuwa miongoni mwao mimi hapana.
Akili kubwa mawazo yake huonekana na taswira hasi kwa wasio na fikra toshelezi.
Tuheshimu mawazo, chukua muda tafakari, kila awaye miongoni mwetu anayotofauti yenye manufaa, azima akili kwanza kabla hujajamba kwa mikono na kichwa chako.
This guy has a valid point especially for lives lost of...
Watu watabisha hili andiko ila inatakiwa akili ya ziada kuwa positive na andiko hili, kwa hakika ni aibu sana, mkoa hauna winches, kweli walikosea ha semi trailer mbili za kuivuta Ndege, seems kama kuna mtu wa lazima alipangwa afe.
Andiko lako ndio sahihi kitaalamu, waafrika utaambiwa heri...
Hivi yule pastor alisema kweli au vybez zake tu? Mzee wauwaji wake walijua kitambo sana, walikuwa wanasubiria muda tu, walijua 2020-2021 haitapita, they said it very clear. Tumaini El aliandikq toka 2018
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.