Acha UZUSHI Na UONGO wewe. Mie ni mmojawapo wa waliohudhuria kongamano hilo. Huyo mdada wa watu hakutamka hilo sehemu yoyote directly or indirectly. Yeye mada yake ilijikita kwenye nini serikali ya CCM na JK imefanya kuhakikisha USAWA wa JINSiA na HAKi Za Wanawake TZ. Mada nyingine ilikuwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.